Rayvanny; Nitaondoka WASAFI (WCB) kwa amani

Rayvanny; Nitaondoka WASAFI (WCB) kwa amani

Hawezi kusema ila moyoni Dogo anaumia sana, Mkataba wake na Wcb ni unyonyaji wa hali ya juu 70% yote ni ya Boss yeye anabakiwa na 30%
Kaingia hapo hana hata 100 wala kigari
Alichapata ashukuru...aendelee kukomaa tu
Asonge mbele
Mjinga siku zote wakat wa kwenda tu wakati wa kurudi ushakuwa mjanja

Ova
 
Kabisa mkuu right wangekua wanapata airtime ktk media zingine wangekua mbali sana na wangepata kolaboleshion za kutosha

Lets say unakuta Mario anataka kufanya kolabo na Mondi akifikiria mond apigwi clouds wa chaneli5 hivyo anaona bora aache

Kuna kipindi mondi alipata kolabo na wasanii wengi sana na ile ilikua kwasababu anapigwa clouds na eatv sasa angalia kwasasa hana kolabo nyingi sana wasanii wanaogopa kufanya naye kolabo kutokana na yeye haelewani na baadhi ya media

Hivi unafikiri Mboso kwa hit song alizotoa zile angeshindwa kupata kolabo kutoka kwa wasanii wa ndani kama vile Nandi, Darasa, marioo, Barnaba na wengine wengi ila wanamuogopa kutokana na lobo aliyokua nayo haina mahusiano mazuri na media zingine, Diamond anaakili Sana kuanzisha media yake bila hivyo alikua anakufa chali.
We hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.

Sasa collabo ya Mbosso na barnaba itamsaidia nini mbosso?? Apo sanasana ataenufaika na iyo collabo ni Barnaba na sio mbosso.
 
We hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.

Sasa collabo ya Mbosso na barnaba itamsaidia nini mbosso?? Apo sanasana ataenufaika na iyo collabo ni Barnaba na sio mbosso.
Mjinga wewe Wizkid anafanya ngoma featuring TENI msanii mpya.

Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei.

Roho hiyo wangekuwa nayo wakina USHER Raymond hata Justine Bieber tusingemuona mende wewe
 
We hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.

Sasa collabo ya Mbosso na barnaba itamsaidia nini mbosso?? Apo sanasana ataenufaika na iyo collabo ni Barnaba na sio mbosso.
Mkuu ukishakua msanii mkubwa na unahit song za kutosha wasanii wadogo kwa wakubwa wanakufuata tena kwa malipo

Ila wasanii wakiogopa kufanya kolabo na wewe kwa kuhofia media kubwa kama clouds kutowapiga nyimbo zao ujue utapotea tuu

Mondi kinacho mbeba ni Media yake bila hivyo angekufa kifo cha mende
 
Mafanikio ni pesa, unataka kunambia rayvany ana pesa kushinda aslay ?
U cant be serious bruh!!! Unamfananisha Vannyboy na Aslay??
.
Tukiachana na malipo ya shows, rayvanny ni msanii wa pili kwa wanaoongoza kwa kupokea mtonyo mrefu kutoka kwenye digital platforms... Wakwnza ni Diamond, then rayvanny, then Harmonize, then Alikiba and so on
 
Mkuu ukishakua msanii mkubwa na unahit song za kutosha wasanii wadogo kwa wakubwa wanakufuata tena kwa malipo

Ila wasanii wakiogopa kufanya kolabo na wewe kwa kuhofia media kubwa kama clouds kutowapiga nyimbo zao ujue utapotea tuu

Mondi kinacho mbeba ni Media yake bila hivyo angekufa kifo cha mende
Ivi kweli msanii mkubwa utegemee kulipwa hela nzuri na msanii mdogo et kisa kufanya collabo?? izo mbona akili za usiku
.
Mfano tu mdogo, videos za wasafi zinarange kuanzia 10M kwenda juu, kuna msanii mdogo atakae weza kumudu izo cost
 
U cant be serious bruh!!! Unamfananisha Vannyboy na Aslay??
.
Tukiachana na malipo ya shows, rayvanny ni msanii wa pili kwa wanaoongoza kwa kupokea mtonyo mrefu kutoka kwenye digital platforms... Wakwnza ni Diamond, then rayvanny, then Harmonize, then Alikiba and so on
Huo mtonyo anaupata wote au anagawana na boss wake?
Maisha ya rayvany nje mtandao Hana tofauti na barnaba, mziki wa Sasa ni pesa Kama huna pesa mafanikio kwake bado Sana.
 
We hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.

Sasa collabo ya Mbosso na barnaba itamsaidia nini mbosso?? Apo sanasana ataenufaika na iyo collabo ni Barnaba na sio mbosso.
Nonsense

No wonder muziki wa kibongo hauna taste..
 
Msanii Raymond Shaban Mwakyusa AKA Rayvanny aliyepo chini ya label ya Wasafi Classic Baby (WCB) amesema atahakikisha anatoka kwenye label hiyo kwa amani. Katika kipindi cha Salama Na Rayvanny kinachorushwa EATV aliulizwa na Salama kuwa wapo watu wanasema Rayvanny ndiye anayefuata kuondoka WCB baada ya Harmonize, Rayvanny alisema jambo hilo linawezekana, na wanaosema hayo wanaongea kwa kuwa yeye ni msanii anayefanya vizuri WCB. Rayvanny alisema Kama ukifika wakati wa yeye kuondoka WCB basi atahakikisha anaondoka kwa amani bila migogoro yoyote.

NINA TABIA NJEMA
Katika mambo mengine aliyosema Rayvanny ni kwamba yeye hanywi pombe, havuti sigara wala bangi hata hivyo alikataa kutaja starehe anayoipenda. Amedai yeye ni mtu anayemtegemea na kumwamini Mungu na kwamba mama yake ni mlokole wa dhehebu la Baptist huko mkoani Mbeya ambapo pia amedai yeye alikuwa akiimba kwaya kanisani.
Anasema hajawahi kwenda kwa mganga na haamini katika kutegemea nguvu za giza.

MSISHANGAE SIKU NIKIIMBA GOSPEL

Katika kuthibitisha ucha Mungu Rayvanny amesema watu wasijekushangaa siku akiacha bongo flavor na kuhamia kwenye muziki wa injili.

SIPO SINGLE

Pamoja na kukataa kumtaja anayedate naye Rayvanny amesema kwa sasa hayupo single.
[emoji3]
 
Ivi kweli msanii mkubwa utegemee kulipwa hela nzuri na msanii mdogo et kisa kufanya collabo?? izo mbona akili za usiku
.
Mfano tu mdogo, videos za wasafi zinarange kuanzia 10M kwenda juu, kuna msanii mdogo atakae weza kumudu izo cost
Fanya utafiti kabla ya kubishana boss.
 
Mjinga wewe Wizkid anafanya ngoma featuring TENI msanii mpya.

Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei.

Roho hiyo wangekuwa nayo wakina USHER Raymond hata Justine Bieber tusingemuona mende wewe
Tuliza tako we mzee, Pensheni Isikuchanganye...Sisi ndo vijana

TENI yupo chini ya MAVIN records inayomilikiwa na Don Jazzy, kuimba na starboy obvisiosly connection imetumika...lakini sio kwamba wizkid ana roho nzuri kiasi cha kusema ataimba na kila msanii mdogo
 
Tuliza tako we mzee, Pensheni Isikuchanganye...Sisi ndo vijana

TENI yupo chini ya MAVIN records inayomilikiwa na Don Jazzy, kuimba na starboy obvisiosly connection imetumika...lakini sio kwamba wizkid ana roho nzuri kiasi cha kusema ataimba na kila msanii mdogo
Una kichaa wewe
IMG_20210221_185251.jpeg
 
Back
Top Bottom