Haya tumekusikiaWasaf wanajua kuliteka soko !! Wanajua kusoma game inataka nini .......na jamii inataka nini sio kama yule mpuuzi anayejiona anakipaji wakati anabeba na tour za kwenye mabanzi ya nguruwe kule tabora
Tuwe wakweli tu ...ktk historia ya mziki ..wasafi wameleta mapinduz makubwa kwenye game
sent from toyota Allex
Kiba hapendi kujionyesha tu,ule wimbo wake wa USINISEMEE aliuweka youtube ndani ya dakika 3 viewers wakawa 150,000 ikabidi awaombe youtube wapunguze viewers.10 mins halafu viewers 1.5k..
Wakati kiba anazipata after 10 hrs..
Life is not fair
Sweet melody ndo the best kwangu.TEAMO na ONE zipo vizuri.Mama la mama nimeipenda sehemu ya blue,siku hizi Mr Blue kwenye collabo anafanya vizuri,nyimbo zake anaharibu sijui Kabyser anakosea wapi.
Mapinduzi Gani Waliyoyaleta ebu yaseme.. Au ndo unajiropokeaWasaf wanajua kuliteka soko !! Wanajua kusoma game inataka nini .......na jamii inataka nini sio kama yule mpuuzi anayejiona anakipaji wakati anabeba na tour za kwenye mabanzi ya nguruwe kule tabora
Tuwe wakweli tu ...ktk historia ya mziki ..wasafi wameleta mapinduz makubwa kwenye game
sent from toyota Allex
Ww ndiye unaropoka maana haujabakiziwa sembe umekuta wameshakula ....subiri usiku ukienda kutembea wanakupiga raba tena[emoji23][emoji23][emoji23]Mapinduzi Gani Waliyoyaleta ebu yaseme.. Au ndo unajiropokea
Hizi Ngoja za Kiunderground ndo Mapinduzi yenyewe?
Usimfananishe kiba na mambo ya kijinga10 mins halafu viewers 1.5k..
Wakati kiba anazipata after 10 hrs..
Life is not fair
Ww ndiye unaropoka maana haujabakiziwa sembe umekuta wameshakula ....subiri usiku ukienda kutembea wanakupiga raba tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu stress za kumaliziwa ugali unazileta huku
sent from toyota Allex
Taja Mapinduzi Waliyoyaleta si kupiga mboyoyo za Vijiwe vya visharobaro uchwaraWw ndiye unaropoka maana haujabakiziwa sembe umekuta wameshakula ....subiri usiku ukienda kutembea wanakupiga raba tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu stress za kumaliziwa ugali unazileta huku
sent from toyota Allex