CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
simba vs coastal union coming up, kuna milioni 15 ya kuendela kuvunja miguu wachezaji wa simba, watu wamechoka kukaa miaka 4 bila kombe ni umafia tu tukilalamika kwa nini hela ziambatane na masharti ya kucheza kung fu tuanaambiwa mbona bashite aliwapa hela kmc kwa kuwafunga utopwinyo swali ni kwamba uto walikuwa wanarukiwa kung fu?Badala ya kuzungumzia coastal na African sports...yeye anazungumzia timu za Dar
Hopeless kabisa huyu