RC Adam Malima: Yanga ina mashabiki wengi kuliko Simba

Followers mbona wananunua Tu

Ukiingia kwenye mitandao kuna kipindi wananiletea mo simba Kwa lazima nakataa bado wananiletea eti suggested,

Niko Twitter ghafla nakuta bavbara ni rafiki yangu [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] sijawahi wala kumuomba wala kuniomba kila nikifuta asiwe rafiki naambiwa you can not [emoji13][emoji13][emoji2957][emoji2957] wanahonga Sana mitandaoni ili auze Tu bidhaa zake mo

Huu ni upuuzi wa mitandao
 
Tumia akili
Makonda timu zote za Dar..
Sasa RC wa Tanga anatetea timu ya Dar ni akili?
Ni ngumu kuamini kuwa andiko hili ni lako....duh...kwa hiyo wewe umetumia akili katika andiko hili...dah...
 
Hilo gaidi liliibiwa bastola 2 na bunduki 3 na changudoa sijui lilikuwa linaenda kufanya tukio wapi.

Shikamoo Morogoro.
 
Bodi ya ligi imeshatoa takwimu na bado unazibishia Tanzania Kuna mtaji mkubwa wa wajinga
 
Wapelekee takukuru kama unao huu ushaidi bila shaka yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…