RC Ally Happi usirudie tena utovu wa nidhamu, ulitaka Mzee Makamba atwangwe bure

RC Ally Happi usirudie tena utovu wa nidhamu, ulitaka Mzee Makamba atwangwe bure

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Kama taifa tukifikia pabaya sana, yalijitokeza makundi awamu ya 5 yanaongeza hivyo hovyo bila kujali utu wala heshima na utii kwa waliowazidi umri. Ilikua ni kutukana na kuwatisha wazee wa watu bure pale walipotoa maoni yao.

Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskini yalizidi kichwa.

Angalieni sasa neema inavyoinyemelea familia ya Mzee Makamba. Ukuu wa mkoa wenyewe kwa sasa ni tia maji tia maji, akifukuta tuu anaunyang'anywa anaangaliwa tu.

Ajifunze na akome kutisha na kutukana watu wazima. Dunia hii ni duara
 
Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskio yalizidi kichwa.
Literary speaking. Umeona maskio yake yalivyo? Kama Nipashe wa gazeti la Uhuru miaka hiyo😂😂😂😂😂😂😂

ila cha moto alikiona Iringa. Wahehe sio watu wazuri. Walimlaza makaburini. Kalala kitandani kwake kaamkia makaburini uchi wa mnyama. Watu kama hao dawa zao ndio hizo, wakijifanya wana mdomo unawaziba na ndumba tu.
 
Kama taifa tukifikia pabaya sana, yalijitokeza makundi awamu ya 5 yanaongeza hivyo hovyo bila kujali utu wala heshima na utii kwa waliowazidi umri. Ilikua ni kutukana na kuwatisha wazee wa watu bure pale walipotoa maoni yao.

Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskini yalizidi kichwa.

Angalieni sasa neema inavyoinyemelea familia ya Mzee Makamba. Ukuu wa mkoa wenyewe kwa sasa ni tia maji tia maji, akifukuta tuu anaunyang'anywa anaangaliwa tu.

Ajifunze na akome kutisha na kutukana watu wazima. Dunia hii ni duara
Ndani ya ccm ni sawa na familia ya kambale
 
Kama taifa tukifikia pabaya sana, yalijitokeza makundi awamu ya 5 yanaongeza hivyo hovyo bila kujali utu wala heshima na utii kwa waliowazidi umri. Ilikua ni kutukana na kuwatisha wazee wa watu bure pale walipotoa maoni yao.

Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskini yalizidi kichwa.

Angalieni sasa neema inavyoinyemelea familia ya Mzee Makamba. Ukuu wa mkoa wenyewe kwa sasa ni tia maji tia maji, akifukuta tuu anaunyang'anywa anaangaliwa tu.

Ajifunze na akome kutisha na kutukana watu wazima. Dunia hii ni duara
Ni kweli mkuu.
Hawa vijana walijazwa kiburi na upepo wa kufura wakiwatisha wazee waliowazidi umri na hekima.

Bahati yao hawakuingia upeo wa kiburi cha kijinga kama Sabaya, lakini walikuwa wakielekea huko.

Sasa hivi wangekuwa mahakamani wakiwa na chupa za maji , wakisindikizwa na magereza wenye misuli.

Hili ni somo, siasa ni tambara bovu, piga siasa ukitazama miaka 20 mbele, na hiyo ndo hekima.
 
Kama taifa tukifikia pabaya sana, yalijitokeza makundi awamu ya 5 yanaongeza hivyo hovyo bila kujali utu wala heshima na utii kwa waliowazidi umri. Ilikua ni kutukana na kuwatisha wazee wa watu bure pale walipotoa maoni yao.

Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskini yalizidi kichwa.

Angalieni sasa neema inavyoinyemelea familia ya Mzee Makamba. Ukuu wa mkoa wenyewe kwa sasa ni tia maji tia maji, akifukuta tuu anaunyang'anywa anaangaliwa tu.

Ajifunze na akome kutisha na kutukana watu wazima. Dunia hii ni duara
Ali Hapi hakupashwa kupewa madaraka. Kibwengo hiki kiliwatukana wazee na heshima zao, babu zake na heshima zao, Kaka zake na heshima zao, Mama zake na heshima zao, Dada zake na heshima zao kwa kiburi cha madaraka ya Jiwe. Kijitu cha hovyo sana . Nikipata upenyo "nakinyonga" kwa kumkosea Mungu maana Mungu kasema: Waheshimu Baba ya Mama yako upate maisha marefu duniani
 
Nashangaa mpaka muda huu mama hajamzingua huyu kijana,Au vile ni Ally sio David?
hata ungekuwa ni wewe ndio Hapi ungebaki bado ofisini,bibi kama ulikaa nae vizuri sidhani kama anaweza kukuletea noma
 
Kama taifa tukifikia pabaya sana, yalijitokeza makundi awamu ya 5 yanaongeza hivyo hovyo bila kujali utu wala heshima na utii kwa waliowazidi umri. Ilikua ni kutukana na kuwatisha wazee wa watu bure pale walipotoa maoni yao.

Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskini yalizidi kichwa.

Angalieni sasa neema inavyoinyemelea familia ya Mzee Makamba. Ukuu wa mkoa wenyewe kwa sasa ni tia maji tia maji, akifukuta tuu anaunyang'anywa anaangaliwa tu.

Ajifunze na akome kutisha na kutukana watu wazima. Dunia hii ni duara
Utu uzima haupimwii kwa miaka, unapimwa kwa hekima, busara, utu wema, uwajibikaji kwa taifa na jamii.. kama uko na umri mkubwa alaf ukakosa hizo sifa, baas ww ni wakutukanwaa hata na mbwaa koko wa mitaani.
 
Hivi aluetaka kutwangwa na huyo sura nzuri ni Makamba au JK? Mtoto mrembo hana adabu kabisa
 
Kama taifa tukifikia pabaya sana, yalijitokeza makundi awamu ya 5 yanaongeza hivyo hovyo bila kujali utu wala heshima na utii kwa waliowazidi umri. Ilikua ni kutukana na kuwatisha wazee wa watu bure pale walipotoa maoni yao.

Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskini yalizidi kichwa.

Angalieni sasa neema inavyoinyemelea familia ya Mzee Makamba. Ukuu wa mkoa wenyewe kwa sasa ni tia maji tia maji, akifukuta tuu anaunyang'anywa anaangaliwa tu.

Ajifunze na akome kutisha na kutukana watu wazima. Dunia hii ni duara
Acha kumtisha kijana ali hapi. Huyo makamba nani hajui vyeo anapewa tu kwa upendeleo. Baba yake hodari wa kuombea watu vyeo ndio atashindwa kupiga hata magoti kumuombea mwanae? Ngoja sasa uone kitu makamba atafanya kama si kuendeleza ufisadi na ubinafsi tu.
 
Kilichomuokoa Ally Happi kutumbuliwa ni dini yake tu.
Chief H anaupiga mwingi kwenye dini na gender bila kujali uwezo wa mtu.
Ila Mwendazake kwenye udini ndio alifunika awamu zote zilizotangulia. Alikua wala haoni haya wala aibu. Alipendelea wazi wazi na aliwachukia sana wale wa imani nyingine

Pale UDOM kwa mfano, baada ya kifo cha Mubofu alimtuma Gaudensia Kabaka akawaondoe wakuu wote wa Idara ambao ni wa ile imani wanayoichukia.

Na kwa uwazi kabisa, mbele ya vyombo vya habari, Gaudensia akasema "Haiwezekani wakuu wa idara wanne au zaidi mkawa wa imani moja"!!!! Wakatolewa wooote. Tena wengine hawakua wakuu wa idara bali wahadhiri waandamizi kisa dini yao

Jambo la kushangaza wakaletwa wengine zaidi ya kumi ambao nao ni wa imani moja, imani pendwa!!!

Jambo la kushangazwa ni kwamba hakuna mdomo uliosema wala kalamu iliyoandika kuhoji wala kulalamikia dhulma na uonevu huo. Nchi ngumu hii
 
We huijui kesho ya ally happy. Muache kijana afanye siasa. Alipotokea mi na wewe hatupajui hadi alipofika hapo. Huyo sio January wa mzee makamba, au nape wa mzee nauye au rizwan wa mzee kikwete. Huyo ni mpambanaji. Hajawahi kutetereka.

Wanaomjua wanafahamu muziki wake alipokuwa lumumba hadi wakataka wamuondoe pale..mzee Membe anamjua vizuri ally happy.
 
Back
Top Bottom