Literary speaking. Umeona maskio yake yalivyo? Kama Nipashe wa gazeti la Uhuru miaka hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ila cha moto alikiona Iringa. Wahehe sio watu wazuri. Walimlaza makaburini. Kalala kitandani kwake kaamkia makaburini uchi wa mnyama. Watu kama hao dawa zao ndio hizo, wakijifanya wana mdomo unawaziba na ndumba tu.
Hani huyo ni juha na hajitambui! Hivi Familia ya Makamba ilishafanya lipi la maana tofauti na wizi na ufisadi!We mtoa mada utakua umetumwa tu, sasa hio familia inayo nyemelewa na neema ina ubora upi katika nchi hii, zaidi ya wizi, ufisadi, ubinafsi na mambo ya hovyo.
naskitika sana kuona mtu anapoteza muda kutetea mambo ya hovyo hovyo.any way kila mtu ana haki ya kutoa maoni
ulitegemea akubali kuwa kalazwa uchi makaburini. Maana hapo ingepelekea swali la pili juu ya nini hasa walimfanya akiwa uchiππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ingawa hii ishu alikana, ilinichekesha saaanaaaa
Tunakumbuka hata kura feki zilizoingiza chama madarakani.Duh.......watu mna kumbukumbu sana!
Nashangaa mpaka muda huu mama hajamzingua huyu kijana,Au vile ni Ally sio David?
Ooh! That was brilliant, now I get it. Kwa hiyo zote hizo zilikuwa sarakasi uwanjani ndio maana Hapi bado anapetaUnajua kuwa Mentor wa Kigwangala, Mwigulu na Ally Hapi ni mmoja?
Yule Mentor alihakikisha vijana wake wako pande zote ili asije akapotez Pambano
Wapo waliokuwa upande wa Mzee na wapo waliokuwa upande wa pili lakin wote wana report kijiji cha Ujamaaa cha ....ga
Na kule Mara atulize mazaga yake la sivyo watamfyeka hayo masikio wale watu hawana mzahaLiterary speaking. Umeona maskio yake yalivyo? Kama Nipashe wa gazeti la Uhuru miaka hiyoπππππππ
ila cha moto alikiona Iringa. Wahehe sio watu wazuri. Walimlaza makaburini. Kalala kitandani kwake kaamkia makaburini uchi wa mnyama. Watu kama hao dawa zao ndio hizo, wakijifanya wana mdomo unawaziba na ndumba tu.
Hawezi kutolewa huyo maana ni mswahili mwenzie na mazaKama taifa tukifikia pabaya sana, yalijitokeza makundi awamu ya 5 yanaongeza hivyo hovyo bila kujali utu wala heshima na utii kwa waliowazidi umri. Ilikua ni kutukana na kuwatisha wazee wa watu bure pale walipotoa maoni yao.
Mmojawapo ni huyu RC wa Mkoa wa Mara ndugu Alli Happi kipindi cha Sekeseke la Kinana na mzee Makamba,alijitokeza na kuwatisha wazee wa watu ati wakiongea watawatwanga. Kijana huyu maskini yalizidi kichwa.
Angalieni sasa neema inavyoinyemelea familia ya Mzee Makamba. Ukuu wa mkoa wenyewe kwa sasa ni tia maji tia maji, akifukuta tuu anaunyang'anywa anaangaliwa tu.
Ajifunze na akome kutisha na kutukana watu wazima. Dunia hii ni duara
CCM ni chama cha hovyo snKuliibuka vijana wapuuzi waliojitia uuchwara wa kidikteta... huyu J makamba asipokuja kuwa raisi basi waziri mkuu hapo kialli kitashangaa naroho yake mbaya.
shangaa katibu uvccm eti kiongo si yule aliyetweza utu wavijana wenzie Kule arusha Kwa kuchapa fimbo watu wazima!! Chama cha fyongozi wahovyo ajabu
ulitegemea akubali kuwa kalazwa uchi makaburini. Maana hapo ingepelekea swali la pili juu ya nini hasa walimfanya akiwa uchi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]