RC Amos Makala mbona wamachinga wanarudi kwenye njia za miguu tena Dar es Salaam?

RC Amos Makala mbona wamachinga wanarudi kwenye njia za miguu tena Dar es Salaam?

Hawakujipanga mapema kabla ya kufanya maamuzi ya kuwahamisha.

Kiuhalisia ilitumika siasa zaidi ya mantiki, serikali yetu ione umuhimu wa kujenga miundombinu rafiki kwao ili kuleta tija.

Ilikuwa ni busara kama wangetenga maeneo rafiki yenye miundombinu inayofikika na huduma uhakika Kwa wamachinga,wao pia ni raia wa Tanzania,wanapaswa kulipa kodi zao kulingana na aina ya biashara wafanyayo.

Serikali iangalie mazingira rafiki yenye mzunguko mzuri(wingi wa watu),wawatengenezee na kuwapeleka huko.
Machinga hawaitaji miundo mbinu😅 unless uwabebe wapita njia uwapitishe juu magorofani mtapowahamishia😅
 
Buguruni pale ukipita asubuhi unaona peupe ila ukipita usiku huwezi kuamini kama ndio hapo palivyojaa wafanyabiashara hadi pa kupita hakuna.
As long as mchana kuko clear, sioni ubaya jioni wakitumia barabara hizo chache kwa biashara. Hata huko mbele ( Ulaya/ Asia) inafanyika hivyo
 
Kwahyo hamtaki watoto wao waende chooni?
Sio vizuri kutimuana kila wakati kwakuwa zoezi la kutimua watu linazaa kelele na bughudha nyingi kwa wananchi. Tulifurahia kuona watanzania wenzetu wafanyabiashara ndogondogo wameziachia barabara za magari na njia za miguu za watanzania wenzao walizokuwa wamezivamia kwa maslahi yao binafsi.

Lakini sasa hivi inasikitisha kuona machinga hawa wanaanza kurudi tena polepole mmojammoja kimyakimya kwenye njia za miguu. Watu hawa wanatabia ya kuambukizana ugonjwa wa kupanga vitu chini kwenye njia za waenda kwa miguu. Yaani anaanza mtu mmoja kupanga chini viatu 3 kutesti mitambo na akiona hali ni shwari anaongeza pea 3 kesho. Na wengine wakiona mwenzao kapanga chini bila kelele na yeye analeta bidhaa yake, na mwingine, mwingine hadi njia zote zinazibwa.

Leo hii ukipita pale Buguruni utaona wale wauza nets na mapazia walianza polepole mmojammoja na sasa karibia hali anarudi upya kama awali.

Ni vizuri surveillance iwe ya kudumu ili kupunguza kurudia upya zoezi lilelile baada ya muda mfupi. Pia ni vema watu watafute maeneo halali sasa ya kuanyia biashara ili kuepuka kurupushani karibu na uchaguzi.
 
Wapiga kura hao, hawawezi kunyanyaswa milele
 
sisi pia ni watanzania kama wao, tunahitaji haki yetu ya njia za kutembea kwa miguu tusigongwe na magari. Kusema hivyo ni sawa na mtu aje kwako kulala mlanoni kwako kwa kisingizio kuwa yeye hana sehemu ya kulala. Wamachanga sio kundi moja la watu kwamba ukiwapatie eneo lenye miundombinu basi umetatua kero yao. Hawa ni watu ambao idadi yao inaongezeka kila siku, ni maeneo gani utawayowapeleka ili watoshe wote? mfano, pale machinga complex kuna watu wako mule kwa zaidi ya miaka 15 sasa wakijiita machinga. Hivi ni kweli kwa miaka 15 yote wewe bado unastahili kuitwa machinga?, yaani hukui ili ipishe wengine (vijana) kwenye jengo.
Halafu serikali iwatafutie machinga (wakwepa kodi)sehemu za kufanya biashara!!? Wao ni nani..Wakapange Fremu huko!
 
Baadhi ya mitaa, viongozi wa machinga wanapitia posho......imekuwa chanzo Cha mapato
Akili iliyotumika kulitengeneza tatizo haiwezi kutumika hiyohiyo kulitatua tatizo. Uholela ndio mtaji mkubwa wa CCM kwenye chaguzi.
 
Buguruni pale ukipita asubuhi unaona peupe ila ukipita usiku huwezi kuamini kama ndio hapo palivyojaa wafanyabiashara hadi pa kupita hakuna.
Hiyo jioni ndio wananchi wengi wanahitaji njia zao za miguu maana ndo wamekaa vituoni kisubiri daladala kurudi majumbani kwao.
 
As long as mchana kuko clear, sioni ubaya jioni wakitumia barabara hizo chache kwa biashara. Hata huko mbele ( Ulaya/ Asia) inafanyika hivyo
Kwani sababu za kuondolewa zilikuwa ni zipi?
 
Sio vizuri kutimuana kila wakati kwakuwa zoezi la kutimua watu linazaa kelele na bughudha nyingi kwa wananchi. Tulifurahia kuona watanzania wenzetu wafanyabiashara ndogondogo wameziachia barabara za magari na njia za miguu za watanzania wenzao walizokuwa wamezivamia kwa maslahi yao binafsi.

Lakini sasa hivi inasikitisha kuona machinga hawa wanaanza kurudi tena polepole mmojammoja kimyakimya kwenye njia za miguu. Watu hawa wanatabia ya kuambukizana ugonjwa wa kupanga vitu chini kwenye njia za waenda kwa miguu. Yaani anaanza mtu mmoja kupanga chini viatu 3 kutesti mitambo na akiona hali ni shwari anaongeza pea 3 kesho. Na wengine wakiona mwenzao kapanga chini bila kelele na yeye analeta bidhaa yake, na mwingine, mwingine hadi njia zote zinazibwa.

Leo hii ukipita pale Buguruni utaona wale wauza nets na mapazia walianza polepole mmojammoja na sasa karibia hali anarudi upya kama awali.

Ni vizuri surveillance iwe ya kudumu ili kupunguza kurudia upya zoezi lilelile baada ya muda mfupi. Pia ni vema watu watafute maeneo halali sasa ya kuanyia biashara ili kuepuka kurupushani karibu na uchaguzi.
Weka picha

Afu acha umbea kama mademu. Wivu umekujaa
 
Sio vizuri kutimuana kila wakati kwakuwa zoezi la kutimua watu linazaa kelele na bughudha nyingi kwa wananchi. Tulifurahia kuona watanzania wenzetu wafanyabiashara ndogondogo wameziachia barabara za magari na njia za miguu za watanzania wenzao walizokuwa wamezivamia kwa maslahi yao binafsi.

Lakini sasa hivi inasikitisha kuona machinga hawa wanaanza kurudi tena polepole mmojammoja kimyakimya kwenye njia za miguu. Watu hawa wanatabia ya kuambukizana ugonjwa wa kupanga vitu chini kwenye njia za waenda kwa miguu. Yaani anaanza mtu mmoja kupanga chini viatu 3 kutesti mitambo na akiona hali ni shwari anaongeza pea 3 kesho. Na wengine wakiona mwenzao kapanga chini bila kelele na yeye analeta bidhaa yake, na mwingine, mwingine hadi njia zote zinazibwa.

Leo hii ukipita pale Buguruni utaona wale wauza nets na mapazia walianza polepole mmojammoja na sasa karibia hali anarudi upya kama awali.
L
Ni vizuri surveillance iwe ya kudumu ili kupunguza kurudia upya zoezi lilelile baada ya muda mfupi. Pia ni vema watu watafute maeneo halali sasa ya kuanyia biashara ili kuepuka kurupushani karibu na uchaguzi.
Zowezi limefanyika kimagumashi. Kuna waliopo barabarani hawajaguswa mfano waliopo mbele ya ofisi kuu ya ccm Dodoma
 
Zowezi limefanyika kimagumashi. Kuna waliopo barabarani hawajaguswa mfano waliopo mbele ya ofisi kuu ya ccm Dodoma
HATA RC Makala naona kama amezidiwa nguvu na wenzake ndani ya chama. Uholela wa mambo ndio kete pekee iliyobaki ya chama kupata kura. Uholela wakujifanyia kazi, biashara, kujenga, kufika kazini, kukamata watu, kuwaachia watu, kujilimia, kujifugia popote hata katikati ya jiji unakutana na kundi la mbuzi wamezagaa, jogoo wanawika hata Oyster bay. Mtu yeyote atakaejaribu kuuondoa uholela huu atakutana na upinzani mkubwa sana.

Lakini kwenye hili la kuwaondoa machinga Mh. RC Makala anayo support kubwa kutoka kwa Mama, sijui anakwama wapi.
 
HATA RC Makala naona kama amezidiwa nguvu na wenzake ndani ya chama. Uholela wa mambo ndio kete pekee iliyobaki ya chama kupata kura. Uholela wakujifanyia kazi, biashara, kujenga, kufika kazini, kukamata watu, kuwaachia watu, kujilimia, kujifugia popote hata katikati ya jiji unakutana na kundi la mbuzi wamezagaa, jogoo wanawika hata Oyster bay. Mtu yeyote atakaejaribu kuuondoa uholela huu atakutana na upinzani mkubwa sana.

Lakini kwenye hili la kuwaondoa machinga Mh. RC Makala anayo support kubwa kutoka kwa Mama, sijui anakwama wapi.
Imekuwa sasa fursa kwa watendaji wanaosimamia zoezi shekh
 
Mpaka mwezi April, hasa baada ya Pasaka; wamachinga wote watakuwa washarejea kwenye maeneo yale yale ya awali.
 
Back
Top Bottom