RC Antony Mtaka kumsema Waziri mbele watoto umekosea. Kama watoto wakimdharau, watamheshimu nani?

RC Antony Mtaka kumsema Waziri mbele watoto umekosea. Kama watoto wakimdharau, watamheshimu nani?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.

Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
 
Mawazo Mbadala sio kumsema mtu

Kwani mtaka kamtukanaje waziri?

Dhama zimebadilika sio kila homa ni maralia nenda ukapime mkuu
 
Mmezoea sifa na mapambio? Kukosoa nayo inahitaji kuingia chumbani!!
 
Mawazo Mbadala sio kumsema mtu

Kwani mtaka kamtukanaje waziri?

Dhama zimebadilika sio kila homa ni maralia nenda nikapime mkuu
Ningekua ndio mimi ningemtumia mbunge wa jimbo hilo ndio azungumze alichozungumza
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.

Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Acha kutetea upuuzi
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.

Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Acheni huu UJINGA maana ndio umedodesha hii NCHI mtu alivurunda aambiwe live maana kama kuambiana vikaoni wameshaambiana sana and no changes
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.

Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
ntashangaa Rais Kama hatompiga chini huyo RC,amelewa sifa anazosifiwa na kina MALISA
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.

Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Mkoa ukifunga mkia aulizwa Waziri wa Elimu ama Mkuu wa Mkoa husika?.

ukijibu ntarudi
 
Kasome katiba utaelewa vizuri bwasheee. Waziri na mbunge wanaweza kufokeana. Lakini sio RC. Ndio maana akina Gambo waliachana na URC, mbunge anaweza kusema chochote atakacho.
Na Mkoa ukifunga mkia aulizwa Waziri wa Elimu ama Mkuu wa Mkoa husika?.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kama mimi yule profesa michakato simuelewagi kabisa.

Wakiwa na Magu walisababisha direction yangu ya Elimu kuishia ilipoishia kwa vikauli vyao vya hovyohovyo.

Nawamind kinyama yaan. Hata Mtaka amemjibu jutokana na ujinga wake profesa Mchakato.
 
Kampa makavu laivu mh. Wazir,watoto wa masikini wanarud home mapema wa kwao wanapanda magari na sometimes wanawalipa walimu waje kufundishia home ila mtoto wa maskin holaa
 
Na Mkoa ukifunga mkia aulizwa Waziri wa Elimu ama Mkuu wa Mkoa husika?.
Yeye ndio anatakiwa aulizwe na Waziri kwanini mkoa wake umeshika nafasi ya mwisho kisha ndio aanze kujieleza. Mbona mikoa mingine imefanya vizuri kwanini uwe mkoa wake tu. Inamaana hiyo mikoa mingine haikufuata maagizo ya waziri.
 
Kama mimi yule profesa michakato simuelewagi kabisa.

Wakiwa na Magu walisababisha direction yangu ya Elimu kuishia ilipoishia kwa vikauli vyao vya hovyohovyo.

Nawamind kinyama yaan. Hata Mtaka amemjibu jutokana na ujinga wake profesa Mchakato.
Elimu yako umeiharibu mwenyewe, elimu ni mtu mwenyewe. Usiwalaumu viongozi.
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.

Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Kuwa focused basi mkuu, unataka kumwambia RC Mtaka au unataka kutuhabarisha kilichotokea?
 
Back
Top Bottom