Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungegusia hata kidogo ambacho alimwambia waziri ili na sisi ambao ndiyo tunasikia toka kwao tupate japo kitu kidogo.RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.
Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Sasa akiamua kuja na mbinu zake kama hizi ili kuboresha ufaulu mkoani kwake shida iko wapi?.Yeye ndio anatakiwa aulizwe na Waziri kwanini mkoa wake umeshika nafasi ya mwisho kisha ndio aanze kujieleza. Mbona mikoa mingine imefanya vizuri kwanini uwe mkoa wake tu. Inamaana hiyo mikoa mingine haikufuata maagizo ya waziri.
Hii meseji unataka sisi tusome au RC Mtaka?RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.
Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Yule mama ile wizara walibugi,JK alimtoa kwenye ilimu,,wanaJF wakagomba sana na kudai alifaa uwaziri wa elimu,,JPM kwa heshima ya jf,akampa uwaziri wa ilimu,Kama mimi yule profesa michakato simuelewagi kabisa.
Wakiwa na Magu walisababisha direction yangu ya Elimu kuishia ilipoishia kwa vikauli vyao vya hovyohovyo.
Nawamind kinyama yaan. Hata Mtaka amemjibu jutokana na ujinga wake profesa Mchakato.
Waziri yupi aliyekosewa heshima? Prof Ndalichako? Huyu mwenye broken English? Alimwambia Mkandarasi wa China "I will put you inside". Akimaanisha nitakuweka ndani yaani rumande.RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.
Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Hao wanaojiita wakuu wilaya hicho cheo kifutweRC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu waziri wa elimu.
Hayo mamalaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Tatizo ni katiba tuliyonayo ni mbovuRC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.
Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Hiyo ndiyo busara. Wazo la Mtaka ni zuri lakini ingefaa sana afuate itifaki za kiutawala au angetangulia kuongea kwanza na Waziri husika ili amruhusu kuweka kambi za kitaaluma kwenye mkoa wakeRC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.
Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
RC atakuwa anavuta bangeRC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.
Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Nileteheni mh MTAKA, elim yetu inachezewa Sana ,sion shida ya mh MtakaRC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.
Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.
Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.
Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.
Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.
Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.