kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Wataalamu wa serikali ya awamu ya tano wa Jiji la Arusha wameona wawapange wamachinga kwa mfumo huu
1. Soko la Mbauda litakuwa la nguo za mitumba.
2. Soko la Machame Luxury litakuwa la vyombo na vifaa vya umeme.
3. Soko la Ulezi litakuwa maalumu kwa nguo za dukani.
4. Soko la Kilombero kiwanja namba 68 litauza mbogamboga na Matunda tu.''
Ukisoma mchanganuo huu uliotolewa hapo utabaini Kuna tatizo lakufikiri Kama siyo ukosefu wa exposure katika ulimwengu wa Sasa ambao wakati au muda nikitu kinacholindwa Sana. Katika ulimwengu wa sasa Dunia inawaza namna bora yakupata huduma zote muhimu katika eneo moja. Walichofanya Arusha nikutuambia kwamba unatakiwa ununue nyanya point A upande daladala ukanunua kifaa Cha umeme point B then usafiri ukanunue nguo ya mtumba point C then usafiri ukanunue nguo ya special point D. Hii biashara ya wapi?
In simple logic walichopanda kufanya nikutathimini point A inabeba machinga wangapi then wagawe eneo kwa huduma zote, waende point nyingine waangalie mahitaji wafanye mgawanyo nk Kwa utaratibu huu mtu akiw Kilombero anapata bidhaa zote, akienda machame luxy anapata bidhaa zote so ni uamuzi uende soko gani.
Tujifunze kuumiza ubongo tuachane na matamko, lakini pia haiwezekani nchi nzima tuwaze kutatua tatizo kwa pamoja. Kila mkoa ukae utathimini na uje na solution tuachane na kukimbizana kuonekana Kama sisi wa kwanza kutekeleza maagizo.
1. Soko la Mbauda litakuwa la nguo za mitumba.
2. Soko la Machame Luxury litakuwa la vyombo na vifaa vya umeme.
3. Soko la Ulezi litakuwa maalumu kwa nguo za dukani.
4. Soko la Kilombero kiwanja namba 68 litauza mbogamboga na Matunda tu.''
Ukisoma mchanganuo huu uliotolewa hapo utabaini Kuna tatizo lakufikiri Kama siyo ukosefu wa exposure katika ulimwengu wa Sasa ambao wakati au muda nikitu kinacholindwa Sana. Katika ulimwengu wa sasa Dunia inawaza namna bora yakupata huduma zote muhimu katika eneo moja. Walichofanya Arusha nikutuambia kwamba unatakiwa ununue nyanya point A upande daladala ukanunua kifaa Cha umeme point B then usafiri ukanunue nguo ya mtumba point C then usafiri ukanunue nguo ya special point D. Hii biashara ya wapi?
In simple logic walichopanda kufanya nikutathimini point A inabeba machinga wangapi then wagawe eneo kwa huduma zote, waende point nyingine waangalie mahitaji wafanye mgawanyo nk Kwa utaratibu huu mtu akiw Kilombero anapata bidhaa zote, akienda machame luxy anapata bidhaa zote so ni uamuzi uende soko gani.
Tujifunze kuumiza ubongo tuachane na matamko, lakini pia haiwezekani nchi nzima tuwaze kutatua tatizo kwa pamoja. Kila mkoa ukae utathimini na uje na solution tuachane na kukimbizana kuonekana Kama sisi wa kwanza kutekeleza maagizo.