Ulikuwa huelewi kuwa soko la ferry nalo pia ni bandari?Kuna ambaye ameona hii ni hoja sahihi ya kwamba kwakua wavuvi wapo basi hapajauzwa?
Kuna uhusiano wa bandari na soko la Ferry?
Nafikiri RC ameharibu kuonyesha kwamba wanaokamatwa ni yeyote atakayetaka kuongelea ishu ya bandari.
Mara waseme imeuzwa,mara waseme mkataba wa milele,mara waseme mkataba wa miaka 100 Hata hawaeleweki.Basi2 upotoshaji iv kweli rais anao uwezo wa kuuza bandari kweli. Aisee
Seriously. Hivi hawa watu wanajua kweli matatizo wansyoingiza nchi au ni upofu wa 10%?Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari
Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?
Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu
RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry
Source: Jambo TV
Mungu ni mwema wakati wote!
acha wasurubishwe akili iwakae sawasawaMara waseme imeuzwa,mara waseme mkataba wa milele,mara waseme mkataba wa miaka 100 Hata hawaeleweki.
Mjinga sana huyu!! Nonsense.Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari
Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?
Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu
RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry
Source: Jambo TV
Mungu ni mwema wakati wote!
Kwa kweli tuna viongozi wenye upeo na akili duni kiasi cha kushangaza mno!!Kuna ambaye ameona hii ni hoja sahihi ya kwamba kwakua wavuvi wapo basi hapajauzwa?
Kuna uhusiano wa bandari na soko la Ferry?
Nafikiri RC ameharibu kuonyesha kwamba wanaokamatwa ni yeyote atakayetaka kuongelea ishu ya bandari.
Swali zuri sana mkuu. Kuna wkt ninatafakari kuhusu hawa viongozi wetu uchwara tulionao serikalini,hadi natamani nikutane nao niwachape makofi. Pumbavu sana hawa.Kwa hiyo, hao wamewekwa ndani sababu ya kuongelea juu ya bandari na siyo uhaini....
Na sijui ni hawaoni kama wanajidhalilisha kwa kutoa matamko ya kijinga!? Sijui watoto wao wanajisikiaje kuwa na baba/mama hasara kiwango hiki?Kwa kweli tuna viongozi wenye upeo na akili duni kiasi cha kushangaza mno!!
Wewe unasemaje?Mara waseme imeuzwa,mara waseme mkataba wa milele,mara waseme mkataba wa miaka 100 Hata hawaeleweki.
Kwamba Mkapa alipouza mashirika ya umma chini ya sera ya ubinafshaji au privatization mashirika hayo yaliondoka na kwenda nyumbani au chi za walionunua?Uuze Bandari ili iwaje?
Na ukiuza kwamba Serikali itaacha kupata hela zake pale au itakuaje Kiaje wajameni 😆😆
Kamata sukuma ndani hao
Kwani ukiuziwa eneo unabomoa kila kitu siku hiyo hiyo?? Umeuziwa nyumba ya familia halafu ndani yake kuna mgogoro unafukuta utaanza kubomoa siku hiyo hiyo.?Kuna ambaye ameona hii ni hoja sahihi ya kwamba kwakua wavuvi wapo basi hapajauzwa?
Kuna uhusiano wa bandari na soko la Ferry?
Nafikiri RC ameharibu kuonyesha kwamba wanaokamatwa ni yeyote atakayetaka kuongelea ishu ya bandari.
Huyu nae si mwehu tuu…kwani kitu kuuzwa mpaka kihamishwe kilipo? Yani Rais Samia kama hawa ndio unawatuma wajibu hoja za mkataba wa DP world hakika magereza yatajaa kwa watuhumiwa wa Uhaini!Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari
Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?
Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu
RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry
Source: Jambo TV
Mungu ni mwema wakati wote!
Ukimwi unamsumbua azingatie kula mbaazi zake la sivyo atapata kichaa zaidi.Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari
Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?
Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu
RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry
Source: Jambo TV
Mungu ni mwema wakati wote!