Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya biblia yametoka wapi hapa?Biblia imeweka taratibu zipi za kuzika? Weka aya hapa
Saad naye hapo ana muabudu Mungu gani kati ya Yesu na Allah?Long live Mh Albert
Hongera kwake kwa kupokea upako.View attachment 3176199Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima' kwa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa (Buldozer) unaofanyika Katika Viwanja vya Tanganyika Packers kawe jijini Dar es Salaam.View attachment 3176197
Wahusika hutaka hilo mkuuKupigana picha wakati wa maombi haijakaa poa.
Tunasali tuonekane kwa Mungu sio wanadamu.
Akili ndogo Sana hiiKaenda kusali kupata ulinzi wa Mungu alafu kazubgukwa na ma bodyguard
Shida nini?Huu ni utaahira
Abubakar alipotoka hapo alipitiliza zake Bar, azana ilipolia akaelekea Msikitini akitokea Bar.View attachment 3176199Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima' kwa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa (Buldozer) unaofanyika Katika Viwanja vya Tanganyika Packers kawe jijini Dar es Salaam.View attachment 3176197
Nyie mnaotapeliwa uko ndio mna akili?Ukiwa huna akili utasema hayo.
Boraukae bar ujulikane uko bar, kuliko hao makafir wanafanya ufuska gizan wengine hapo wanafira nakufirwa wengine wana lala na malaya wana michepuko imejaa kila kona [emoji706][emoji706]Akasema wenye wivu mjinyonge[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila msijinyonge, njooni muokolewe madhabahu ya Arise and Shine.
Eti wanasema wamerogwa
Yaani wao waliokesha wamerogwa
Ila walioko baaa wanalewa muda huu hawajarogwa?
Anajua kama anaenda kinyume na imani yake asili ya kikatoliki?Atajua hajui si muda.View attachment 3176199Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima' kwa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa (Buldozer) unaofanyika Katika Viwanja vya Tanganyika Packers kawe jijini Dar es Salaam.View attachment 3176197
Anamuabudu Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia na vyote vilivyopo.Saad naye hapo ana muabudu Mungu gani kati ya Yesu na Allah?
Usanii mtupu.