RC Chalamila akiwa amezama katika maombi kwenye mkesha kwa Mwamposa

RC Chalamila akiwa amezama katika maombi kwenye mkesha kwa Mwamposa

View attachment 3176199Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima' kwa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa (Buldozer) unaofanyika Katika Viwanja vya Tanganyika Packers kawe jijini Dar es Salaam.View attachment 3176197
Hongera kwake kwa kupokea upako.
 
View attachment 3176199Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima' kwa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa (Buldozer) unaofanyika Katika Viwanja vya Tanganyika Packers kawe jijini Dar es Salaam.View attachment 3176197
Abubakar alipotoka hapo alipitiliza zake Bar, azana ilipolia akaelekea Msikitini akitokea Bar.
 
Akasema wenye wivu mjinyonge[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila msijinyonge, njooni muokolewe madhabahu ya Arise and Shine.

Eti wanasema wamerogwa
Yaani wao waliokesha wamerogwa
Ila walioko baaa wanalewa muda huu hawajarogwa?
Boraukae bar ujulikane uko bar, kuliko hao makafir wanafanya ufuska gizan wengine hapo wanafira nakufirwa wengine wana lala na malaya wana michepuko imejaa kila kona [emoji706][emoji706]
 
View attachment 3176199Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima' kwa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa (Buldozer) unaofanyika Katika Viwanja vya Tanganyika Packers kawe jijini Dar es Salaam.View attachment 3176197
Anajua kama anaenda kinyume na imani yake asili ya kikatoliki?Atajua hajui si muda.
 
Hayo ni yao
Ila lengo la mkesha siyo Hilo. . Lengo ni kumtukuza Mungu wetu aliye hai..Muumba wa Mbingu, na Dunia.
Ni kama tu waislam wanaokula kitimoto.
Sasa huwezi kuichafua uislam wote Kwa sababu ya wapuuzi wachache.
 
Back
Top Bottom