Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huyu mwamba angecheza comedy angefika mbali zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia weka aya inayoonyesha jinsi biblia imeweka utaratibu wa jinsi ya kuzikaMambo ya biblia yametoka wapi hapa?
Kolabo ya matapeli hii. Huku tapeli Mwamposa na huku nanga Chalamila.View attachment 3176199Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima' kwa mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa (Buldozer) unaofanyika Katika Viwanja vya Tanganyika Packers kawe jijini Dar es Salaam.View attachment 3176197
Kuna speech moja ya Albert chalamila kuhusu huduma ya mwamposa..itafute usikilize..Huu ni utaahira
Ulipoambiwa 25% ni wagonjwa wa akili ukielewa nini, watu milioni 15 mna ugonjwa wa akili, msijae pale kwanini?Kuna speech moja ya Albert chalamila kuhusu huduma ya mwamposa..itafute usikilize..
Pia,
Mimi nae andika hapa ni mtu timamu pale kwa mwamposa sio pa kubeza Kuna matendo makuu ya mungu nimeshuhudia pale hakuna maigizo mpaka leo sijajua ni kitu gani kinacho fanyika mwamposa anafungua Sana watu..
Huwezi kusanya na kudanganya wale watu wote vile Ile madhabahu Ina nguvu sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akasharada sharabaka, rabashoro, roboboboboboboooo
alisikika mr chala
Asante mkuu,Ulipoambiwa 25% ni wagonjwa wa akili ukielewa nini, watu milioni 15 mna ugonjwa wa akili, msijae pale kwanini?
Hii ni picha ya kikazi.Kupigana picha wakati wa maombi haijakaa poa.
Tunasali tuonekane kwa Mungu sio wanadamu.
Na mbenguu zimefongukaaaAkasharada sharabaka, rabashoro, roboboboboboboooo
alisikika mr chala
hatar mkuuNa mbenguu zimefongukaaa
Wasanii wengi sana 😄Zamani Nigeria ilikuwa ikiongoza ulimwenguni kwa raia wake kuwa waigizaji.
Kuanzia 2007 Tanganyika ikapokea kijiti na hakuna Nchi nyingine itakayo weza kukichukua kijiti hiki.
Hata hao Thailand hawatufikii kamwe!
Nimecheka sn aisee 😄😄😄😄Akasharada sharabaka, rabashoro, roboboboboboboooo
alisikika mr chala