RC Chalamila akiwa amezama katika maombi kwenye mkesha kwa Mwamposa

RC Chalamila akiwa amezama katika maombi kwenye mkesha kwa Mwamposa

Ni mradi mkubwa wa miaka mingi kuvunja au kuyapunguzia nguvu makanisa makubwa duniani kama Katoliki, Lutheran, Anglican kwa kuwa ilifikia mahali yakajiona kwamba yanaweza kupimana ubavu na dola.

Njia pekee ni kutengeneza njia ya kuwa na makanisa meeeengi madogo madogo ili kuweka counter balance. It is paying off, Katoliki kupitia Kitima akivurumusha maneno, anajibiwa na mchungaji huko Nkasi.

Na bado zile hospitali zao za kanisa, ziliwapa kiburi sana na wakazitumia ku-influence public opinion in their favour, and against the government. JPM akaamua kutandika hospitali za Wilaya kila mahali hata zilipo hospitali za kanisa (District Designated Hospital)


The same for universities, zamani serikali ilikuwa inawastahi, sehemu wanazoweka university au hospital, yenyewe haijengi. Serikali ikitega mgongo, Kitima na genge lake wanaitukana kwamba haileti maendeleo. Bora ijenge hata kama itamaanisha zitazamane uso kwa uso au fensi kwa fensi. Kila mtu atakula alipopeleka mboga
Kayanda bhebhe
 
Ni mradi mkubwa wa miaka mingi kuvunja au kuyapunguzia nguvu makanisa makubwa duniani kama Katoliki, Lutheran, Anglican kwa kuwa ilifikia mahali yakajiona kwamba yanaweza kupimana ubavu na dola.

Njia pekee ni kutengeneza njia ya kuwa na makanisa meeeengi madogo madogo ili kuweka counter balance. It is paying off, Katoliki kupitia Kitima akivurumusha maneno, anajibiwa na mchungaji huko Nkasi.

Na bado zile hospitali zao za kanisa, ziliwapa kiburi sana na wakazitumia ku-influence public opinion in their favour, and against the government. JPM akaamua kutandika hospitali za Wilaya kila mahali hata zilipo hospitali za kanisa (District Designated Hospital)


The same for universities, zamani serikali ilikuwa inawastahi, sehemu wanazoweka university au hospital, yenyewe haijengi. Serikali ikitega mgongo, Kitima na genge lake wanaitukana kwamba haileti maendeleo. Bora ijenge hata kama itamaanisha zitazamane uso kwa uso au fensi kwa fensi. Kila mtu atakula alipopeleka mboga
Roho mbaya
 
Kuomba ni swala la mficho.kwa lugha nyepesi tunasema ni faraga.kupiga picha sio ustarabu wakati mtu anaomba
 
Nyerere hii kitu hakuipa nafasi, huwezi kuona mahali popote akiongea kanisani.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima'
Huyo mama ndiye anakesha hao wengine wanachombeza usingizi
 
Kupigana picha wakati wa maombi haijakaa poa.

Tunasali tuonekane kwa Mungu sio wanadamu.
Kuna jambo nimejifunza kwako, kuna uwezekano hata huyo DC pembeni ya RC amelazimishwa kimtindo aonekane kwenye picha kulinda nafasi
 
Kiki za kiboya sana hizi.. Mchonga asingevumilia huu upuuzi
Hapo akili yake yote inamuwaza Mwamposa, kama ingekuwa ina Mungu basi angefanya maombi na kujibiwa akiwa kwake
 
Back
Top Bottom