Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nan huyo anamdhihaki Mungu?Mungu hadhihakiwi
Kayanda bhebheNi mradi mkubwa wa miaka mingi kuvunja au kuyapunguzia nguvu makanisa makubwa duniani kama Katoliki, Lutheran, Anglican kwa kuwa ilifikia mahali yakajiona kwamba yanaweza kupimana ubavu na dola.
Njia pekee ni kutengeneza njia ya kuwa na makanisa meeeengi madogo madogo ili kuweka counter balance. It is paying off, Katoliki kupitia Kitima akivurumusha maneno, anajibiwa na mchungaji huko Nkasi.
Na bado zile hospitali zao za kanisa, ziliwapa kiburi sana na wakazitumia ku-influence public opinion in their favour, and against the government. JPM akaamua kutandika hospitali za Wilaya kila mahali hata zilipo hospitali za kanisa (District Designated Hospital)
The same for universities, zamani serikali ilikuwa inawastahi, sehemu wanazoweka university au hospital, yenyewe haijengi. Serikali ikitega mgongo, Kitima na genge lake wanaitukana kwamba haileti maendeleo. Bora ijenge hata kama itamaanisha zitazamane uso kwa uso au fensi kwa fensi. Kila mtu atakula alipopeleka mboga
Roho mbayaNi mradi mkubwa wa miaka mingi kuvunja au kuyapunguzia nguvu makanisa makubwa duniani kama Katoliki, Lutheran, Anglican kwa kuwa ilifikia mahali yakajiona kwamba yanaweza kupimana ubavu na dola.
Njia pekee ni kutengeneza njia ya kuwa na makanisa meeeengi madogo madogo ili kuweka counter balance. It is paying off, Katoliki kupitia Kitima akivurumusha maneno, anajibiwa na mchungaji huko Nkasi.
Na bado zile hospitali zao za kanisa, ziliwapa kiburi sana na wakazitumia ku-influence public opinion in their favour, and against the government. JPM akaamua kutandika hospitali za Wilaya kila mahali hata zilipo hospitali za kanisa (District Designated Hospital)
The same for universities, zamani serikali ilikuwa inawastahi, sehemu wanazoweka university au hospital, yenyewe haijengi. Serikali ikitega mgongo, Kitima na genge lake wanaitukana kwamba haileti maendeleo. Bora ijenge hata kama itamaanisha zitazamane uso kwa uso au fensi kwa fensi. Kila mtu atakula alipopeleka mboga
Huyo huyo usiyemuwazaKwani nan huyo anamdhihaki Mungu?
Me simuwazi LissuHuyo huyo usiyemuwaza
Nawe ulikuwa unakeshaHapo kishapewa bahasha yake
Huyo mama ndiye anakesha hao wengine wanachombeza usingiziMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule wameongoza Maelfu ya Watu waliojitokeza katika Mkesha wa maombi ya 'Roho na Hekima'
Kuna jambo nimejifunza kwako, kuna uwezekano hata huyo DC pembeni ya RC amelazimishwa kimtindo aonekane kwenye picha kulinda nafasiKupigana picha wakati wa maombi haijakaa poa.
Tunasali tuonekane kwa Mungu sio wanadamu.
Yaani mkuu
oh shika raba raba zangu chukua ndala zako.Akasharada sharabaka, rabashoro, roboboboboboboooo
alisikika mr chala
Ndio, nkatoa na sadaka ya kujimalizaNawe ulikuwa unakesha
Hapo akili yake yote inamuwaza Mwamposa, kama ingekuwa ina Mungu basi angefanya maombi na kujibiwa akiwa kwakeKiki za kiboya sana hizi.. Mchonga asingevumilia huu upuuzi
Unasemaa?!?Hapo kishapewa bahasha yake