RC Chalamila amechoka kukaa DSM, changamoto zimezidi anatamani kutua mzigo. Kila la kheri kwenye majukumu mapya

Ingawa hua anajitutumua lakini wapi?
huyu alifaa kua kwenye miji ya pemben huko lakin sio dar
eti kama hupendi foleni nenda kijijini
shame on him!
Like son like father.
Magufuli aliwahi kuwaambia wananchi wa Kigamboni kuwa kama hawana nauli ya kulipia kivuko basi WAPIGE MBIZI.
 
Bado Una mambo ya kitoto sana tena mpuuzi. Kwani ukisoma ukanyamaza kuna shida gani?? Mada zingine siyo size yako.
Huyo hanga akili ndiyo maana huwa analipuka tu
 
Huu ujumbe uwafikie (Waheshimiwa) Viongozi wengine wote, katika ngazi zote, Maana wapo katika hizo nafasi zao ili katatue changamoto za wananchi.
 
Acheni Aende Iringa Ambako Alikuwa Anafundisha
 
Nadhani siku hizi uRC umerahisishwa sana,yeyote tu anaweza kuwa RC hata kama ana changamoto za Afya ya Akili...those days ukisikia Mzee Nyamka n Mama Chips( Mungu awarehemu) wanaongea unasema kweli hawa ni VIONGOZI
 
Yule kichwa cha ubuyu ana matatizo ya akili ni vile wanajitoa ufahamu kuendelea kumuamini lakini alitakiwa awe mirembe kwa vichaa wenzie akipatiwa tiba
 
Yule kichwa cha ubuyu ana matatizo ya akili ni vile wanajitoa ufahamu kuendelea kumuamini lakini alitakiwa awe mirembe kwa vichaa wenzie akipatiwa tiba
Mwacheni mtu wetu wa BIA. Wanywa BIA tunamkubali sana hahahahaaaaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…