RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Kiongozi kuongea lugha za kuudhi ahamie Chadema ndio ataenjoy

Hapa CCM tutamjadili tu 🐼
Swali;Je,matibabu hutolewa bure?Na kama viffa-tiba na dawa za makundi kama ya wazee,wajawazito na watoto zitakuwa zimeisha kituo/hospitali husika,mlengwa/walengwa wafanyeje?
 
Hiyu ni kiongoz huwa anaangalia kauli zake ? Mamlaka za uteuzi huwa mna double standards. Nn hiki?
Hapana, Mh Chalamila kaongea ukweli mtupu ambao watu hawataki kuusikia.

Mfano, mgonjwa huyo huyo C/S angeifanyia Muhimbili angetozwa pesa na kusingekuwa na kelele, ila wakiwa kwenye hospitali za Mikoa, Wilaya na Vituo vya Afya wakitozwa pesa malalamiko yanakuwa mengi. Hii sio sawa kwa vituo vingine.

Nampongeza sana Mh. Ni ukweli ambao wanasiasa kwa kujua ama kutokujua wanaamua kuuficha makusudi.
 

Attachments

  • IMG-20250126-WA0007.jpg
    IMG-20250126-WA0007.jpg
    39.9 KB · Views: 1
Swali;Je,matibabu hutolewa bure?Na kama viffa-tiba na dawa za makundi kama ya wazee,wajawazito na watoto zitakuwa zimeisha kituo/hospitali husika,mlengwa/walengwa wafanyeje?
Wewe umewahi kwenda kujifungua ukaambiwa gloves na viwembe hakuna? Au ni mambo ya Rushwa tu

Unaelewa chochote kuhusu Buffer stock? 😂
 
CHALAMILA AMEONA HAKUNA HAJA YA KUENDELEA KUDANGANYA RAIA.

AMEMUA ANYOOKE KAMA RULA😁😁😁UKIAMUA KUBEBEA MIMBA UWE UMEJIPANGA.MAMBO YA KUZAA ZAA HOVYO WAKATI HUWEZI KUITUNZA MIMBA WALA MTOTO NI UMASIKINI WA FIKRA NA AKILI.

NCHI TAYARI INA WATU MILLIONI 60 UNAKUTA MTU BADO ANAZAA HOVYO WAKATI YEYE MWENYEWE KUJIHUDUMIA HAJIWEZI.


📌📌TZ HATUNA UPUNGUFU WA WATU.WATU WAJIFUNZE KUZAA KWQ MPANGO.
Na hilo jambo la kuhifadhi vifaa vya kujifungulia pamoja na fedha za akiba wajawazito na ndugu zao husisitizwa sana kabla hawajafikia hatua ya kujifungua.Hapo ni kipi kilikuwa kigeni?Kujilalamisha tu hao watu kidumavu kwenye akili.
 
Kakosea wapi? Ni ukweli aliosema
Sasa mnategemea hospitali ifanyaje kama hela hakuna na gloves zimeisha?

Mtu kuanzia mwanzo wa mimba hadi miezi tisa unashindwaje kujipanga kwa hela za dharula kama hizo hadi unakuja hospital unashindwa kulipia 50K?

Shida ya watu hawapendi kuelezwa hali halisi
 
Swali;Je,matibabu hutolewa bure?Na kama viffa-tiba na dawa za makundi kama ya wazee,wajawazito na watoto zitakuwa zimeisha kituo/hospitali husika,mlengwa/walengwa wafanyeje?
Na hakunaga dawa za Makundi maalum. Huo msamaha ni mzigo mzito kwenye vituo vya kutolea huduma, maana hakuna anaekuja kufidia hizo gharama.

Changamoto kubwa tunaamini zaidi wanasiasa kuliko professionals
 
Wewe umewahi kwenda kujifungua ukaambiwa gloves na viwembe hakuna? Au ni mambo ya Rushwa tu

Unaelewa chochote kuhusu Buffer stock? 😂
TAHADHARI YA KIUANDISHI WAKO.
-Mimi najifungua kwa kutumia masikio au makwapa?Uwe unaandika kwa busara.
Hospitali nyingi hazina dawa.Huo ndiyo ukweli.Kama kuna mengineyo yanayowahusu watoa huduma hiyo ni kazi ya serikali kufanyia kazi ili kuondoa ukakasi.
 
Na hakunaga dawa za Makundi maalum. Huo msamaha ni mzigo mzito kwenye vituo vya kutolea huduma, maana hakuna anaekuja kufidia hizo gharama.

Changamoto kubwa tunaamini zaidi wanasiasa kuliko professionals
Kwa maneno ya kisiasa huwa zipo ila kiuhalisia HAKUNAGA.
 
TAHADHARI YA KIUANDISHI WAKO.
-Mimi najifungua kwa kutumia masikio au makwapa?Uwe unaandika kwa busara.
Hospitali nyingi hazina dawa.Huo ndiyo ukweli.Kama kuna mengineyo yanayowahusu watoa huduma hiyo ni kazi ya serikali kufanyia kazi ili kuondoa ukakasi.
Usiishi kizamani

Siku hizi kujifungua wanakwenda Mume na mke Ili kuweka ushuhuda Sawa labda kama Wewe mwenyewe utakataa kushuhudia Kujifungua Kwa Couple yenu 😄😄

Pale Aga Khan ni kawaida sana sasa huko Pawaga unakoishi lazima liwe jambo kama Matusi hivi 😂😂😂😂😂
 
Usiishi kizamani

Siku hizi kujifungua wanakwenda Mume na mke Ili kuweka ushuhuda Sawa labda kama Wewe mwenyewe utakataa kushuhudia Kujifungua Kwa Couple yenu 😄😄

Pale Aga Khan ni kawaida sana sasa huko Pawaga unakoishi lazima liwe jambo kama Matusi hivi 😂😂😂😂😂
Ok.Uje hapa Itunundu(nitakaporudi kutoka Nyamuswa)halafu tukae sebuleni na familia yangu uniulize nimejifungua mtoto gani!
Huo uzungu na lugha zao utazisikia kwa Philips na giriki wa Kalenga na Ruaha tu.
 
Back
Top Bottom