nishawahi kuskia kuhusu bange, kuna ukweli wowote??Huyu akishavuta bangi zake anakuwa na ulimwengu wake mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nishawahi kuskia kuhusu bange, kuna ukweli wowote??Huyu akishavuta bangi zake anakuwa na ulimwengu wake mwenyewe
HATUA IPI AU CHALAMILA ATOE HELA ZAKE MFUKONI AMNUNULIE VIFAA VYA KUJIFUNGUA???Kiongozi unapopigiwa Simu na mpiga kura akakueleza tatizo Usimnyanyapae bali mchukulie Kwa Upendo
Alimjibu hivi mama aliye katika Uchungu wa kutaka kujifungua? 🐼
Kwako Mary Chatanda
Alafu kala za uso 😄Yeye hajabishia kuchangia bali kampigia Mkuu wa mkoa Ili kuelimishwa na Siyo kunyanyapaliwa
Huyo mama lazima atakuwa ni mwanaccm ndio sababu alipata ujasiri wa kumpigia RC
Na unafikiri aliepiga simu ni mgonjwa?!Wewe unadhani mama aliye Kwenye Uchungu Namba ya RC aliipataje?
Na unadhani kwanini Chalamila alipokea simu haraka na kutoa majibu ya Kwenye Kanga 🐼😂
Yajayo yanafurahisha
Jamaa ni mvutaji mzuri huoni midomo yake ilivyopauka.nishawahi kuskia kuhusu bange, kuna ukweli wowote??
😁😁😁😁😁kumbe imekuwa elimu tena!!!Yeye hajabishia kuchangia bali kampigia Mkuu wa mkoa Ili kuelimishwa na Siyo kunyanyapaliwa
Huyo mama lazima atakuwa ni mwanaccm ndio sababu alipata ujasiri wa kumpigia RC
Mkuu million 60 unaona wengi.?CHALAMILA AMEONA HAKUNA HAJA YA KUENDELEA KUDANGANYA RAIA.
AMEAMUA ANYOOKE KAMA RULA😁😁😁UKIAMUA KUBEBEA MIMBA UWE UMEJIPANGA.MAMBO YA KUZAA ZAA HOVYO WAKATI HUWEZI KUITUNZA MIMBA WALA MTOTO NI UMASIKINI WA FIKRA NA AKILI.
NCHI TAYARI INA WATU MILLIONI 60 UNAKUTA MTU BADO ANAZAA HOVYO WAKATI YEYE MWENYEWE KUJIHUDUMIA HAJIWEZI.
📌📌TZ HATUNA UPUNGUFU WA WATU.WATU WAJIFUNZE KUZAA KWA MPANGO.
Huyo ni wale wapambe nuksi na amepigwa KO!!! atakuwa ni wale ndugu wanaoshinda wamevaa nguo za kijani hawatakagi kufanya kazi za kuingiza vipato(wazee wa kamserereko)kila mahali wao wanajitambilisha kama MAKADA😁😁Na hilo jambo la kuhifadhi vifaa vya kujifungulia pamoja na fedha za akiba wajawazito na ndugu zao husisitizwa sana kabla hawajafikia hatua ya kujifungua.Hapo ni kipi kilikuwa kigeni?Kujilalamisha tu hao watu kidumavu kwenye akili.
Unadhani aliyeambiwa " kamwambie Mumeo anunue mkasi akuzalishe" siyo Mgonjwa? 🐼Na unafikiri aliepiga simu ni mgonjwa?!
Chalamila bwana , akiwa uraiani mtu bomba sana , akiwa Rc wa Mbeya aliwahi nibeba kwenye msafara wake toka Iringa , mtu poa sana, ila wasiwasi wangu may be anapigaga cha Arusha nini?Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kuacha kuingiza siasa katika mambo yanayowahusu binafsi hasa katika Afya kwani hazitawasaidia badala yake zitawachelewesha na pia kuwa na madhara zaidi.
Akizungumza hivi karibuni na wanachi wa Temeke jijini Dar Es Salaam, Chalamila aliwaambia kuna vifaa vya hospitali inapowalazimu wanunue kwani sio wakati wote hospitali zitakuwa na vifaa kamili.
Chalamila alimuelezea mama mmoja mjamzito aliyempigia simu akilalamika kuambiwa na Daktari atoe shilingi elfu 50,000/= ili inunulie vifaa vya kumsaidia kujifungua ikiwemo gloves ambapo Chalamila alimwambia asitoe fedha aende nyumbani akajifungue.
==================================================
Mwenye direct connection amfikishie mama SSH ujumbe huu, atuondolee huyu MTU hapa dsm, ampeleke Rauha akalinde wanyama, hafai kuwa kiongozi
View attachment 3214512
Elimu ndio kuhusu Mifumo ya Serikali Kwenye Huduma ya Afya ya MAMA NA MTOTO 🐼😁😁😁😁😁kumbe imekuwa elimu tena!!!
Nikuulize swali rahisi tu, unajuaje kama yule mama baada ya kubeba ujauzito ule, mumewe alipata ajali na bodaboda akafa?? Sasa kiongozi unapotoa kai kama ile huyo mjane atajisikiaje?? Chungeni kauli zenu Mungu yupo na hadhihakiwi. Usijione mjanja kuwa nacho leo ukamdharau na kumdhihaki asiyenacho leo kwani hujui kesho yako.📌📌NDO MFANYE KAZI HAMNA MBELEKO,UKIBEBA MIMBA UWE UMEJIPANGA KAMA HUWEZI KONDOM ZIPO SHILINGI BUKU TU UNAPATA KITU HAKICHANIKI😁😁😁
#NO FREE LUNCH,HAPA DUNIANI!!!
Chalamila havuti bhangi ila ni Ule Ulanzi wa utotoni Ili alaleChalamila bwana , akiwa uraiani mtu bomba sana , akiwa Rc wa Mbeya aliwahi nibeba kwenye msafara wake toka Iringa , mtu poa sana, ila wasiwasi wangu may be anapigaga cha Arusha nini?
alie karibu na Makonda ebu mwambieni atujuze tafadhali
Huyu jamaa ni mjinga na jitu la hovyo kabisa. Unaposema hivyo kama kiongozi unapeleka taswira Gani kwa hospitali za kitanzania? Si kila sehemu tutaambiwa dawa hakunaMkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kuacha kuingiza siasa katika mambo yanayowahusu binafsi hasa katika Afya kwani hazitawasaidia badala yake zitawachelewesha na pia kuwa na madhara zaidi.
Akizungumza hivi karibuni na wanachi wa Temeke jijini Dar Es Salaam, Chalamila aliwaambia kuna vifaa vya hospitali inapowalazimu wanunue kwani sio wakati wote hospitali zitakuwa na vifaa kamili.
Chalamila alimuelezea mama mmoja mjamzito aliyempigia simu akilalamika kuambiwa na Daktari atoe shilingi elfu 50,000/= ili inunulie vifaa vya kumsaidia kujifungua ikiwemo gloves ambapo Chalamila alimwambia asitoe fedha aende nyumbani akajifungue.
==================================================
Mwenye direct connection amfikishie mama SSH ujumbe huu, atuondolee huyu MTU hapa dsm, ampeleke Rauha akalinde wanyama, hafai kuwa kiongozi
View attachment 3214512