johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yeye hajabishia kuchangia bali kampigia Mkuu wa mkoa Ili kuelimishwa na Siyo kunyanyapaliwaKaamua kutumia lugha fananishi. Ila pointi yake ni kuwa ni muhimu wateja wafahamu kuna KUCHANGIA huduma na sio porojo porojo.
Huyo mama lazima atakuwa ni mwanaccm ndio sababu alipata ujasiri wa kumpigia RC