RC Chalamila: Daraja la Saba wanaingiza mamilioni, wa Chuo Kikuu wanalaumu mitaala haiwawezeshi kujiajiri

RC Chalamila: Daraja la Saba wanaingiza mamilioni, wa Chuo Kikuu wanalaumu mitaala haiwawezeshi kujiajiri

Mm aniazime ukuu wake wa mkoa miezi mitatu alaf aingie mtaani nimkabizi bodaboda yangu.

Route yangu ni mbagala _kariakoo na kariakoo _kigamboni miezi mitatu.

Ndio watakuja kuzungumza lugha Moja

YEYE AACHE UO UTEUZI AANZE KUJIAJIRI KWA VITENDO...

##MATRIX
Huwa wanaongea kwa kukariri tu wakati huo huo wao wameajiriwa. Ni kama anataka kila mtu awe mshirikina
 
Au alivyorudishwa mbona hakuukataa na kusema ana mishe zake?? Kwanza kakaa kichawa hadi anaboa yule jamaa

Afu kwanini watu ambao hawajasoma sana wakiona wasomi wanateseka kupata kazi kwao ni kama faraja??
Sijui ni nani aliruhusu mtu kama yeye kuwa mkuu wa mkoa wa jiji letu
 
RC wa Dar Albert Chalamila amewashangaa watu wanaolaumu Elimu ya Chuo Kikuu Tanzania hususani graduate Kwa kulalamika na kulaumu mitaala ya Elimu na Serikali wakati Kuna mtu ana Elimu ya darasa la Saba tu anaitumia kuingiza Mamilioni Kariakoo na kwingineko.

My Take:
Naunga mkono hoja,haiwezekani mwenye Elimu ya la Saba akaitumia kupata pesa wewe mwenye Elimu ya Chuo Kikuu uwe unalaumu. Vijana wa miaka hii ni hovyo na wazembe sana.

=======

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amesema wakati wanafunzi wanaohitimu vyuo vikuu wakilalamika kwamba mitaala ya masomo yao haiwawezeshi kujiajiri, wapo watu walioishia darasa la saba wanaoingiza mamilioni ya fedha Kariakoo.

Chalamila amewataka wahitimu wa vyuo vikuu wanaokosa fursa za kuajiriwa, watafakari namna ya kuzigeuza changamoto zilizopo kwenye jamii kujiingizia kipato badala ya kubaki kulalamika.

Ameyasema hayo leo, Septemba 10, 2023 Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kuliombea taifa amani, iliyoandaliwa na Kanisa Kuu la Bwana.

View attachment 2745668
Yeye kwanini hakuishia LA saba? Na je anaingiza pesa kwa, kutumia elimu gani? Hao LA saba wameanzisha kampuni gani? Hili ndio tatizo LA kushiba mpaka kuvimbiwa! Unaanza kujamba Jamba tu, huyu kenge aseme watoto wake wanasoma LA ngapi? Wataishia LA saba?
Yaani unamuona Diamond anapesa na ameishia LA saba! Basi, una jipa matumaini ohh kumbe elimu sio muhimu!
Akili, za, hovyo kabisa,
Sasa kama Hao la saba ndio wanafsnya maajabu, futeni vyuo vikuu,tukose Madonna harafu mkiumwa! Tezi dume waiteni Hao LA saba waje wawatibu!
 
Yeye kwanini hakuishia LA saba? Na je anaingiza pesa kwa, kutumia elimu gani? Hao LA saba wameanzisha kampuni gani? Hili ndio tatizo LA kushiba mpaka kuvimbiwa! Unaanza kujamba Jamba tu, huyu kenge aseme watoto wake wanasoma LA ngapi? Wataishia LA saba?
Yaani unamuona Diamond anapesa na ameishia LA saba! Basi, una jipa matumaini ohh kumbe elimu sio muhimu!
Akili, za, hovyo kabisa,
Sasa kama Hao la saba ndio wanafsnya maajabu, futeni vyuo vikuu,tukose Madonna harafu mkiumwa! Tezi dume waiteni Hao LA saba waje wawatibu!
Tatizo Tanzania kila mtu sabab kiongozi anaongea chochote mradi kapewa maiki bhas. Mana yeye mwenyew akiambiwa aache uongozi akajiajiri jicho linakuwa nyanya
 
Watu wanaoishia darasa saba au kidato cha nne huwa wanaingia mtaani bila matarajio/vipaumbele vyovyote ni kuanza zero kabisa na kupambana taratibu bila pressure yoyote na inachukua miaka hadi 10 mtu kuwa sawa.Sasa kijana aliepoteza muda/ada hadi kafika chuo na kumaliza bila skill yoyote ya kumfanya apambane mtaa atakua tayari kuanza from scratch kama kijana alieishia la saba au kidato cha nne?kulikua na umuhimu gani wa kufika chuo?la msingi ni either mitaala ibadilishwe ienadane na mahitaji ya mtaa au basi vijana waishie kidato cha nne tu watafute skills nyingine zitazowawezesha kujitegemea kama ufundi magari,umeme n.k au hata bila skill yoyote kijana wa kidato cha nne anaweza kuwa na utulivu wa kuanza mdogo mdogo na kukua bila pressure yoyote kutoka kwa jamii kulingana na level ya elimu yake.
Na wewe ingia hivyo hivyo kama ndio njia ya kutoboa 😁😁
 
Yeye kwanini hakuishia LA saba? Na je anaingiza pesa kwa, kutumia elimu gani? Hao LA saba wameanzisha kampuni gani? Hili ndio tatizo LA kushiba mpaka kuvimbiwa! Unaanza kujamba Jamba tu, huyu kenge aseme watoto wake wanasoma LA ngapi? Wataishia LA saba?
Yaani unamuona Diamond anapesa na ameishia LA saba! Basi, una jipa matumaini ohh kumbe elimu sio muhimu!
Akili, za, hovyo kabisa,
Sasa kama Hao la saba ndio wanafsnya maajabu, futeni vyuo vikuu,tukose Madonna harafu mkiumwa! Tezi dume waiteni Hao LA saba waje wawatibu!
Kwa sababu alijua akifikia Chuo Kikuu Kuna kazi atafanya ambazo ndio hizo anafanya keshajiongeza.
 
Mm aniazime ukuu wake wa mkoa miezi mitatu alaf aingie mtaani nimkabizi bodaboda yangu.

Route yangu ni mbagala _kariakoo na kariakoo _kigamboni miezi mitatu.

Ndio watakuja kuzungumza lugha Moja

YEYE AACHE UO UTEUZI AANZE KUJIAJIRI KWA VITENDO...

##MATRIX
Kwan ameupata kwa kuuokota ?? Amepambana kusoma kujenga network kuloga ndo kafikia hapo.

Point ni ile ile kazi ya serikali ni kujenga barabara na shule kutafutautajiri ni kazi ya kila mmoja kivyake
 
Graduates hawawezi muelewe wamelalia masikio mithiri ya mama DPW ila kasema ukweli mchungu kabisa wenye kufikirisha na kuleta mabadiliko chanya.

Ukosefu huu wa ajira kutokana na ongezeko la wahitimu wa vyuo vikuu wenzetu Nigeria na hata Kenya wameupitia miaka mingi sana huko nyuma wakabadili mitazamo wakaanza kuchakalika huku na huko hadi makanisani sasa wanatengeneza money, ng'ambo wamejaa, viwanda vidogo, kati na vikubwa wameanzisha. Quality products waunda na nje zauzika vyema ila sisi bado tumelala usingizi wa pono hadi 2060.
 
RC wa Dar Albert Chalamila amewashangaa watu wanaolaumu Elimu ya Chuo Kikuu Tanzania hususani graduate Kwa kulalamika na kulaumu mitaala ya Elimu na Serikali wakati Kuna mtu ana Elimu ya darasa la Saba tu anaitumia kuingiza Mamilioni Kariakoo na kwingineko.

My Take:
Naunga mkono hoja,haiwezekani mwenye Elimu ya la Saba akaitumia kupata pesa wewe mwenye Elimu ya Chuo Kikuu uwe unalaumu. Vijana wa miaka hii ni hovyo na wazembe sana.

=======

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amesema wakati wanafunzi wanaohitimu vyuo vikuu wakilalamika kwamba mitaala ya masomo yao haiwawezeshi kujiajiri, wapo watu walioishia darasa la saba wanaoingiza mamilioni ya fedha Kariakoo.

Chalamila amewataka wahitimu wa vyuo vikuu wanaokosa fursa za kuajiriwa, watafakari namna ya kuzigeuza changamoto zilizopo kwenye jamii kujiingizia kipato badala ya kubaki kulalamika.

Ameyasema hayo leo, Septemba 10, 2023 Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kuliombea taifa amani, iliyoandaliwa na Kanisa Kuu la Bwana.

View attachment 2745668
Kwa nini yeye asijiajiri!!??
 
Jadilini tu kila mmoja na mawazo mnaruhusiwa ila msifikie tu hatua ya kubeza elimu, maana watanzania kisa mtu hajasoma sana ananiingiza millioni kadhaa kwa mwezi basi anaweza akaona taaluma ni scam

Watu wapo bize na AI huko duniani, sie tupo kwenye debate lasaba na degree holder mwenye uthubutu zaidi ni nani

Nijuavyo Mimi mambo ya innovations hususani za kiTech hazitaki njaa, hazitaki stress, hazitaki kodi ya nyumba natoa wapi au mchna nitakula nini...zinataka ulale unawaza ile algorithm pale natoka vipi

Ndio maana utawaona hata kina elon mask, ni maisha safi toka wanakuwa hata kama walikuwa si mabilionea ila suala la kukiria bills halikuwa tatizo, kadhalika kina mak Wa meta

Nilitaka nitolee mfano na matajiri wetu Wa hapa ndani ila naona nimechoka kutype makala ndefu
Mkuu, naona unakula ugali Kwa picha ya samaki.
Hilo unalolisema siyo la level ya wabongo.
Tuzungumzie hali tuliyonayo na tunatokaje?
 
RC wa Dar Albert Chalamila amewashangaa watu wanaolaumu Elimu ya Chuo Kikuu Tanzania hususani graduate Kwa kulalamika na kulaumu mitaala ya Elimu na Serikali wakati Kuna mtu ana Elimu ya darasa la Saba tu anaitumia kuingiza Mamilioni Kariakoo na kwingineko.

My Take:
Naunga mkono hoja,haiwezekani mwenye Elimu ya la Saba akaitumia kupata pesa wewe mwenye Elimu ya Chuo Kikuu uwe unalaumu. Vijana wa miaka hii ni hovyo na wazembe sana.

=======

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amesema wakati wanafunzi wanaohitimu vyuo vikuu wakilalamika kwamba mitaala ya masomo yao haiwawezeshi kujiajiri, wapo watu walioishia darasa la saba wanaoingiza mamilioni ya fedha Kariakoo.

Chalamila amewataka wahitimu wa vyuo vikuu wanaokosa fursa za kuajiriwa, watafakari namna ya kuzigeuza changamoto zilizopo kwenye jamii kujiingizia kipato badala ya kubaki kulalamika.

Ameyasema hayo leo, Septemba 10, 2023 Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kuliombea taifa amani, iliyoandaliwa na Kanisa Kuu la Bwana.

View attachment 2745668
Darasa la saba wengi ni wezi na wakwepaji Kodi pale Kariakoo.
 
Back
Top Bottom