RC Chalamila: Daraja la Saba wanaingiza mamilioni, wa Chuo Kikuu wanalaumu mitaala haiwawezeshi kujiajiri

RC Chalamila: Daraja la Saba wanaingiza mamilioni, wa Chuo Kikuu wanalaumu mitaala haiwawezeshi kujiajiri

Mm aniazime ukuu wake wa mkoa miezi mitatu alaf aingie mtaani nimkabizi bodaboda yangu.

Route yangu ni mbagala _kariakoo na kariakoo _kigamboni miezi mitatu.

Ndio watakuja kuzungumza lugha Moja

YEYE AACHE UO UTEUZI AANZE KUJIAJIRI KWA VITENDO...

##MATRIX
Ama kweli kwenye shibe hamjui mwenye njaa.
 
Wapeleken watoto zenu shule achen stori za vijiwen tajeni sampo ya hao la saba waliotoboa wanaoingiza mamilioni ni wangapi kulinganisha na wamachinga kariakoo....


Maisha hayana fomula
 
Mm aniazime ukuu wake wa mkoa miezi mitatu alaf aingie mtaani nimkabizi bodaboda yangu.

Route yangu ni mbagala _kariakoo na kariakoo _kigamboni miezi mitatu.

Ndio watakuja kuzungumza lugha Moja

YEYE AACHE UO UTEUZI AANZE KUJIAJIRI KWA VITENDO...

##MATRIX
Endelea na boda yako mzee,utataka ukabidhiwe vyeo vingap ili ubadilishane na boda yako,mana huchelew kumwambia na Samia akupe urais umpe boda,it doesn't work that way,kaza pumbu izo utatoboa
 
Endelea na boda yako mzee,utataka ukabidhiwe vyeo vingap ili ubadilishane na boda yako,mana huchelew kumwambia na Samia akupe urais umpe boda,it doesn't work that way,kaza pumbu izo utatoboa
Mimi sipo uko nilitokaga kitambo hapa tunazungumzia wimbi kubwa la graduate ambao hawakufundishwa ENTREPRENEUR SKILLS tangu mwanzo wa ELIMU zao kama plan B then mnawaambia wajiajili Kwa kazi ambazo ni inferior ambazo wadogo zao wakiona wanasema bora wawe Diamond platinum kuliko ualimu,uhasibu na hata udaktar wa binadamu.....

Nawasemea wasakatonge ndugu zetu wadogo zetu na watu wengine wengi maana vijana wanataabika mtaani maana wame kukaririshwa notice Kwa miaka kibao then waki demand white collar jobs mnawaambia wajiajir....???

Cc. Mbunge JUMANNE KISHIMBA

Alafu kuhusu kuniambia kukaza KENGELE Utajisikiaje baba yako mzazi akiambiwa ivyo mbele yako tena na kijana mdogo.....


NB:
BRAIN 🧠 YOUR EYES 👀
 
Watu wanaoishia darasa saba au kidato cha nne huwa wanaingia mtaani bila matarajio/vipaumbele vyovyote ni kuanza zero kabisa na kupambana taratibu bila pressure yoyote na inachukua miaka hadi 10 mtu kuwa sawa.Sasa kijana aliepoteza muda/ada hadi kafika chuo na kumaliza bila skill yoyote ya kumfanya apambane mtaa atakua tayari kuanza from scratch kama kijana alieishia la saba au kidato cha nne?kulikua na umuhimu gani wa kufika chuo?la msingi ni either mitaala ibadilishwe ienadane na mahitaji ya mtaa au basi vijana waishie kidato cha nne tu watafute skills nyingine zitazowawezesha kujitegemea kama ufundi magari,umeme n.k au hata bila skill yoyote kijana wa kidato cha nne anaweza kuwa na utulivu wa kuanza mdogo mdogo na kukua bila pressure yoyote kutoka kwa jamii kulingana na level ya elimu yake.
Inaitajika muda mpaka iyo pressure ya kukosa ajira kuzoeleka Kwa graduate...

Umeeleza mengi sana ambayo mm nimeyaona Kwa macho miaka Ile ya JK kuingia majeshini ilikua rahisi tena hata bila kupitia JKT

Mdogo angu alimaliza form 4 na rafik yake mmoja ambae alipenda kututembelea nyumbani kwetu....rafik yake alipata div4 ya 28 mdogo angu akapata div 2 ya 19

Dogo akaenda five na six then chuo kikuu...rafik yake alikaa home kwao mwaka mmoja akaenda driving school akapata reseni ya udereva zikatokea nafasi za police akaomba akaenda CCP akapata job..

Dogo baada ya kugraduate na degree ndani na ufaulu mkubwa akaanza kutafuta job lakini hakufanikiwaa siku Moja yule rafik Ake Alie fail form four anakuja kumtembelea na Toyota crown yake MPYA kabisa....

Unadhani kwanini pressure ya maisha isiongezeke Kwa graduate maana alio dhani ame waacha nyuma kumbe wamemkata gepu....

All in all,
Vijana tuwasaidie wasikate tamaa siku zao zipo pia waji tahidi kuji adjust japo mdogo mdogo
Nina mifano Mingi ya jamaa na washikaji wengi hapa dar es salaam ambao waliamua kuacha professional zao na kuingia mtaa kupambania kombe kivingine ukikomaa na chochote ipo siku kitakutoa...

Neno Moja kwao ALUTA CONTINUE
 
Siitetei serikali;

Ukitaka kufanikiwa hapa Tanzania, sahau kuwa una haki ya kuungwa mkono na serikali, fanya mishe zako kwa juhudi.

Tanzania tuna rasilimali na fursa nyingi sana. Ardhi ipo haina kazi, tupambaneni vijana.

Fuga, lima, fanya biashara n.k

Ukienda mpanda kuna maeneo sasa hivi tunavyoongea wanauza shilingi 250,000/= tu kwa ekari moja. Unaweza kupata eneo lako hata ekari kumi ukatumia kukupa pesa.

Nimeenda Kenya mara kadhaa, nikiri kuwa wenzetu ni wachapa kazi kuliko sisi. Vijana wa kitanzania wanawaza kula bata na ngono badala ya kazi. Matokeo yake ni kulalamikia serikali kuomba ajira hafifu za unesi, ualimu. N.k

NB. Ukishindwa kitoboa hapa Tanzania, huwezi kutoboa kwenye nchi yoyote Afrika mashariki.
Kinachofanyika Tanzania ni serikali kukwepa majukumu na wajibu wake na kuwaambia raia wake wakajihangaikie wenyewe. Elimu ndiyo msingi wa kila kitu na haiwezekani kila mtu awe mkulima.
 
Wa la saba hatumii vya shuleni anatumia vya kitaa,,,vya shuleni anavyotumia ni kusoma na kuhesabu tu vingine kajifunza kwa wazazi na mtaani
 
Back
Top Bottom