KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Ama kweli kwenye shibe hamjui mwenye njaa.Mm aniazime ukuu wake wa mkoa miezi mitatu alaf aingie mtaani nimkabizi bodaboda yangu.
Route yangu ni mbagala _kariakoo na kariakoo _kigamboni miezi mitatu.
Ndio watakuja kuzungumza lugha Moja
YEYE AACHE UO UTEUZI AANZE KUJIAJIRI KWA VITENDO...
##MATRIX
Endelea na boda yako mzee,utataka ukabidhiwe vyeo vingap ili ubadilishane na boda yako,mana huchelew kumwambia na Samia akupe urais umpe boda,it doesn't work that way,kaza pumbu izo utatoboaMm aniazime ukuu wake wa mkoa miezi mitatu alaf aingie mtaani nimkabizi bodaboda yangu.
Route yangu ni mbagala _kariakoo na kariakoo _kigamboni miezi mitatu.
Ndio watakuja kuzungumza lugha Moja
YEYE AACHE UO UTEUZI AANZE KUJIAJIRI KWA VITENDO...
##MATRIX
Mie nishaingia kwa style hiyo kitambo imenichukua muda na kudhalilika ila kwa sasa alhamdullilahNa wewe ingia hivyo hivyo kama ndio njia ya kutoboa [emoji16][emoji16]
🤣🤣🤣🤣 Sasa mbona wao Wana mapesaMie nishaingia kwa style hiyo kitambo imenichukua muda na kudhalilika ila kwa sasa alhamdullilah
Mimi sipo uko nilitokaga kitambo hapa tunazungumzia wimbi kubwa la graduate ambao hawakufundishwa ENTREPRENEUR SKILLS tangu mwanzo wa ELIMU zao kama plan B then mnawaambia wajiajili Kwa kazi ambazo ni inferior ambazo wadogo zao wakiona wanasema bora wawe Diamond platinum kuliko ualimu,uhasibu na hata udaktar wa binadamu.....Endelea na boda yako mzee,utataka ukabidhiwe vyeo vingap ili ubadilishane na boda yako,mana huchelew kumwambia na Samia akupe urais umpe boda,it doesn't work that way,kaza pumbu izo utatoboa
Mr.JuniorKwan ameupata kwa kuuokota ?? Amepambana kusoma kujenga network kuloga ndo kafikia hapo.
Point ni ile ile kazi ya serikali ni kujenga barabara na shule kutafutautajiri ni kazi ya kila mmoja kivyake
Inaitajika muda mpaka iyo pressure ya kukosa ajira kuzoeleka Kwa graduate...Watu wanaoishia darasa saba au kidato cha nne huwa wanaingia mtaani bila matarajio/vipaumbele vyovyote ni kuanza zero kabisa na kupambana taratibu bila pressure yoyote na inachukua miaka hadi 10 mtu kuwa sawa.Sasa kijana aliepoteza muda/ada hadi kafika chuo na kumaliza bila skill yoyote ya kumfanya apambane mtaa atakua tayari kuanza from scratch kama kijana alieishia la saba au kidato cha nne?kulikua na umuhimu gani wa kufika chuo?la msingi ni either mitaala ibadilishwe ienadane na mahitaji ya mtaa au basi vijana waishie kidato cha nne tu watafute skills nyingine zitazowawezesha kujitegemea kama ufundi magari,umeme n.k au hata bila skill yoyote kijana wa kidato cha nne anaweza kuwa na utulivu wa kuanza mdogo mdogo na kukua bila pressure yoyote kutoka kwa jamii kulingana na level ya elimu yake.
Kinachofanyika Tanzania ni serikali kukwepa majukumu na wajibu wake na kuwaambia raia wake wakajihangaikie wenyewe. Elimu ndiyo msingi wa kila kitu na haiwezekani kila mtu awe mkulima.Siitetei serikali;
Ukitaka kufanikiwa hapa Tanzania, sahau kuwa una haki ya kuungwa mkono na serikali, fanya mishe zako kwa juhudi.
Tanzania tuna rasilimali na fursa nyingi sana. Ardhi ipo haina kazi, tupambaneni vijana.
Fuga, lima, fanya biashara n.k
Ukienda mpanda kuna maeneo sasa hivi tunavyoongea wanauza shilingi 250,000/= tu kwa ekari moja. Unaweza kupata eneo lako hata ekari kumi ukatumia kukupa pesa.
Nimeenda Kenya mara kadhaa, nikiri kuwa wenzetu ni wachapa kazi kuliko sisi. Vijana wa kitanzania wanawaza kula bata na ngono badala ya kazi. Matokeo yake ni kulalamikia serikali kuomba ajira hafifu za unesi, ualimu. N.k
NB. Ukishindwa kitoboa hapa Tanzania, huwezi kutoboa kwenye nchi yoyote Afrika mashariki.