RC Chalamila: Hatuwezi kuzuia bajaji kutumia barabara Kuu Mbeya

RC Chalamila: Hatuwezi kuzuia bajaji kutumia barabara Kuu Mbeya

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema hatozizuia bajaji kupita barabara kuu kwa kuwa na wao wanatafuta riziki za kutumia na familia zao.

Machi 15, Asubuhi Madereva wa daladala zinayosafirisha abiria katikati ya Jiji la Mbeya, wameanza mgomo kushinikiza Serikali iziondoe Bajaji kwenye njia zilizotengwa kwa ajili yao.

Kuhusu mgogoro huo RC Chalamila amesema ni lazima madereva wa daladala wawe wabunifu katika kutatua shida hiyo na sio kutaka watu wa bajaji wasitumie barabara.
 
Wazipige tu maana hakuna namna hao si wafuasi wa sugu hao, wachapane tu kwani maendeleo hayana chama , nasisitiza zipigwe tu hakuna jinsi.
 
Tunajenga nchi ya kipumbavu
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema hatozizuia bajaji kupita barabara kuu kwa kuwa na wao wanatafuta riziki za kutumia na familia zao

Machi 15, Asubuhi Madereva wa daladala zinayosafirisha abiria katikati ya Jiji la Mbeya, wameanza mgomo kushinikiza Serikali iziondoe Bajaji kwenye njia zilizotengwa kwa ajili yao

Kuhusu mgogoro huo RC Chalamila amesema ni lazima madereva wa daladala wawe wabunifu katika kutatua shida hiyo na sio kutaka watu wa bajaji wasitumie barabara
 
Waje na Idea madereva wa daladala ili isaidie kutatua huo mgogoro,ni swala la kukaa wadau wote wa usafirishaji ili watatue tatizo hili bila mizozo...
 
... serikali haiwezi kuwazuia wapiga kura kufanya biashara zao!
 
Back
Top Bottom