Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Pole mkuu ila kwa kawaida mbeya inakosa hadhi ya jiji ka kukosa mpangilio wa vitu kama hiviLeo tusio na usafiri chamoto tutakipata nauli za bukubuku hizi dah na nilishazoea 400 inanifikisha nyumbani.
Saiz bajaji zinatoka mwanjelwa hadi mbalizi na zingne igawilo hadi mwanjelwa na zipo za mwanjelwa hadi stand kuu na majengo