Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lisu siyo binadamu wa kumuamini!Bwashee umesoma twiti za lissu za leo?
Sawa Bwashee Itafahamika tu.Tundu Lisu siyo binadamu wa kumuamini!
kwa maendeleo ya sasa ndani ya jiji tunatarajia kuona dala dala zikiondoka na mahali lake pachukuliwe na mabasi makubwa kama ilivyofanyika Dar,na si uondoe dala dala uweke bajaji,bajajiYaaani kero ya Leo kwa wasafiri ni kubwa sana
Creativity huwa ina Tendency ya Kuondoa Limitation ya Mambo au Vitu; So kama UK ni for Disabled then Huko TZ ni za Abiria wenye Viungo kamili.Bajaji ni magari ya walemavu.. nenda UK kama utaona bajaji.
ajabu ipi.anamuwakilisha nan pale? ukijijibu ndio utajua.na ngomo ni uvunjifu wa amanKuna umuhimu wa jiwe kurudi online very immediately unless otherwise huku tuendako kuna watu wataassume presidential power na wataanza kutoa maagizo yaliyopo hata nje ya nyadhifa zao. Kama huyu anayetishia kuingiza vifaru na military busses barabarani kubeba abiria[emoji53][emoji53]
Mkuu kuna mambo yanaharibiwa na siasa na watu kukosa elimu ya mipango miji na matumiz yakekwa maendeleo ya sasa ndani ya jiji tunatarajia kuona dala dala zikiondoka na mahali lake pachukuliwe na mabasi makubwa kama ilivyofanyika Dar,na si uondoe dala dala uweke bajaji,bajaji
ni nzuri zichukue sehemu na zifeedbarabara kuu,bajaji ziko faster,madereva wake makanjanja ,wanasabaabisha ajali za kila aina,hawana nidhamu na elimu ya uendeshaji wanaovertake pande zote,wanawatesa madereva wengine barabarani,ajabu hawakemewi wala kuelekezwa cha kufanya na traffic.wengi wanafikiri bajaji zinamilikiwa na waendesha bajaji ,kumbe! aa wapi hata kipato 95% in cha hao.tuweke miji yetu vizuri,tuondoe misongamano,@afanye kulingana na kibali/leseni ,maana kuna wamiliki wa dala dala ni wanyonge kweli
UK ipi? banana,Mombasa,Mizambarauni madafu au majumba 6?Bajaji ni magari ya walemavu.. nenda UK kama utaona bajaji.
Nipo na drive bara bara kuu ambayo Hawa wadau hiace wanaandamama.For sure bro, we upo wap