RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

Zaidi ya asilimia 99.9 ya watanzani wanaona juhudi na mambo mazuri anayoyafanya Mh.SAmia Hassan,hakika mama anaupiga mwingi,tumpe tena ten years ili tanzania iwe kama Dubai
Muhimbili ibakie kuwa Hospital ya mkoa au ya kanda Maalim ijengwe Hospital mpya iwe na jina jipya waite Tanzania National Hospital
 
Ikivunjwa yote sisi wenye magonjwa sugu kama Cardiovascular diseases tutatibiwa wapi ?😳
 
Litafutwe eneo jingine ijengwe Hospitali mpya Muhimbili waiache iendelee kutoa huduma.
Tunahitaji Hospitali nyingi zinazotoa huduma sawa na muhimbili.Nenda leo pale kaone wagonjwa walivojazana !
Utadhani ni sokoni.Kumuona daktari tu kwa mfano MOI utafika saa 11 alfajir utaondoka saa kumina moja jioni !
Pia serikali iongeze madaktari hawatoshi !
 
Kwa nini uibomoe? Kwa nini isijengwe nyingine kamq hiyo, Bagamoyo, au, mkuranga, au, Moro, au singing?
Hapo zinatqfutwa pesa, za, uchaguzi!
Itatumika bilioni 40,zingine zone, chakula ya cccm
 
Huyo kiongozi maskini anawaza kubomoa tu.

Inatakiwa ibaki makumbusho, tafuteni eneo ijengwe pengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…