Naona unatamani kila mtu aone kama mnavyoona nyie chawa!Zaidi ya asilimia 99.9 ya watanzani wanaona juhudi na mambo mazuri anayoyafanya Mh.SAmia Hassan,hakika mama anaupiga mwingi,tumpe tena ten years ili tanzania iwe kama Dubai
Mimi nadhani kubomoa yale Majengo kama MOI na JKCI na mengineyo mfano wa hayo ni ubadhirifu na tena niseme ni maangamii kama yale ya Waisrael wanayofanya kule Gaza.Labda Wabomoe yale mabovu kabisa na haya mengine ambayo bado ni mapya waboreshe kwa namna wanvyotaka.Huwezi ukaanza kubomoa nyumba kirahisi tu kisa umepata pesa.amesema hayo akiwa wapi?
kulikuwa na tukio gani.?
habari ya kujenga na kuboa hospital ya Muhimbili siyo mpya .. mastermind Prof. Janabi aliwahi ita waandishi, na alisema aliko zitoa hela .
hii ilikuwa kabla mama hajaenda korea..
zaidi soma hapa . uzi wa kitambo hapa hapa Jf
lakini pia kuna wana JF wana mashaka na mradi huu.. wakidhani ni uharibifu..
soma tena hapa.
Mtindo mpya wa rushwa wa kubomoa na kujenga Hospitali ya Taifa Muhimbili
Kumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala. Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwanini basi pasibakie...www.jamiiforums.com
Sio hivyo, mambo mazuri ya serikali ya awamu ya sita hayahitaji tochi kuyaona,miundo mbinu imeboreshwa,huduma za afya ndo usiseme,watumishi wa umma kupanda vyeo/ madaraja kwa wakati hili halihitaji tochi, mama apewe maua yakeNaona unatamani kila mtu aone kama mnavyoona nyie chawa!
Akili yako fupi unataka hospital ya Taifa ilajengwe morogoro watu wanadeal na PopulationUpungufu wa akili kichwani.
Badala ya kubomoa yote na kujenga upya, wangejenga nyingine ikiwezekana hata mkoa mwingine.
Kuna landa ya nyasaWangejenga Hospital Mpya Kama hiyo kanda ya Nyasa
Hatuoni, ni hivi, hiki sio kizazi Cha ccm, hata mtumie nguvu kubwa kitulazimisha hayo maendeleo, lakini tumeshaichoka ccm. Tunawashukuru kwa haya mnaendeleo kidogo mliyoleta, lakini mkae pembeni Sasa.Sio hivyo, mambo mazuri ya serikali ya awamu ya sita hayahitaji tochi kuyaona,miundo mbinu imeboreshwa,huduma za afya ndo usiseme,watumishi wa umma kupanda vyeo/ madaraja kwa wakati hili halihitaji tochi, mama apewe maua yake
Wayapakie hayo majengo kwenye magari ya jeshi watuletee wilayani kwetu Ruangwa tunayahitaji.Wajenge mpya tu, hakuna haja ya kubomoa na kujenga
Kile kiwanja cha Mbagala hawajengi tena maana walisema kuna hospital kubwa itajengwa. Chalamila ni mleviRC Chalamila amesema Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa gharama ya Tsh billion 560 kwa Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kusini
Kwahiyo wale mnaosemasema ooh Rais alikuwa India, Ufaransa na sasa Korea Kusini muelewe safari zake ni za kutafuta Maendeleo ya nchi yetu, amesisitiza Dr Chalamila
Chanzo: Jambo TV
Jumaa Mubarak 😀
Pia soma:
Hatuoni, ni hivi, hiki sio kizazi Cha ccm, hata mtumie nguvu kubwa kitulazimisha hayo maendeleo, lakini tumeshaichoka ccm. Tunawashukuru kwa haya mnaendeleo kidogo mliyoleta, lakini mkae pembeni Sasa.
Ni kweli cdm haina dira kwa mujibu wa majizi ya ccm. Hata majizi ya KANU huko Kenya walikuwa wanawadanya wananchi wao kuwa wao tu ndio wanaweza kuongoza Kenya, leo hii KANU haipo, na Kenya ina uchumi mzuri kuliko sisi tuliotawaliwa muda wote kwa shuruti na majizi ya ccm.chadema kupewa nchi hii itachukua miaka 1000 kuanzia leo,nadhani hata wewe hutapata muda wa kuyashuhudia haya unayoyatamani, chadema inakosa dira na uelekeo thabiti kwa wafuasi wake kuwaamini
JibuRC Chalamila amesema Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa gharama ya Tsh billion 560 kwa Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kusini
Kwahiyo wale mnaosemasema ooh Rais alikuwa India, Ufaransa na sasa Korea Kusini muelewe safari zake ni za kutafuta Maendeleo ya nchi yetu, amesisitiza Dr Chalamila
Chanzo: Jambo TV
Jumaa Mubarak 😀
Pia soma:
mijitu mieusi imelaaniwa!Sasa kwa nini waibomoe wakati wangeweza kujenga nyingine eneo jingine?!
Kazi za kitaalamu, wanasiasa wanataka kuzifanya zao, matokeo yake ndio haya. Haya mambo ya mpango WA maendeleo waachiwe wachumi-Tume ya Mipango na wabunifu majengo. Sio wanasiasa au wale wastaafu waliochaguliwa Tume ya Mipango.Wajenge mpya tu, hakuna haja ya kubomoa na kujenga
Na huku kuna Yule Waziri wa kujenga Barabara Kwa EPC+f Kwa kuongeza cha juu. Watalipa wadanganyikaRC Chalamila amesema Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa gharama ya Tsh billion 560 kwa Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kusini
Kwahiyo wale mnaosemasema ooh Rais alikuwa India, Ufaransa na sasa Korea Kusini muelewe safari zake ni za kutafuta Maendeleo ya nchi yetu, amesisitiza Dr Chalamila
Chanzo: Jambo TV
Jumaa Mubarak 😀
Pia soma: