Zaidi ya asilimia 99.9 ya watanzani wanaona juhudi na mambo mazuri anayoyafanya Mh.SAmia Hassan,hakika mama anaupiga mwingi,tumpe tena ten years ili tanzania iwe kama Dubai
Kwa mtu mwenye akili timamu hakuna misaada ya bure katika dunia hii. Kwan Korea wao nchi nzima hawana shida yoyote mpaka hela zimejaa kwenye bank zao hadi wanakoswa pa kuziweka. Baada ya miaka 3 mlima Kilimanjaro umebinafsishwa kwa miaka 1000
Kumeingia mtindo mpya wa kujitafutia miradi. Sasa mkurugenzi wa Muhimbili anataka kuanzisha mradi wa upigaji eti Muhimbili ibomolewe na kujegwa upya wakati kuna vijana hawana hata mabweni ya kulala. Kwani kuna tatizo gani ya maeneo ya kujenga mpaka wakabomoe hospitali! Kwanini basi pasibakie...
Mimi nadhani kubomoa yale Majengo kama MOI na JKCI na mengineyo mfano wa hayo ni ubadhirifu na tena niseme ni maangamii kama yale ya Waisrael wanayofanya kule Gaza.Labda Wabomoe yale mabovu kabisa na haya mengine ambayo bado ni mapya waboreshe kwa namna wanvyotaka.Huwezi ukaanza kubomoa nyumba kirahisi tu kisa umepata pesa.
Sio hivyo, mambo mazuri ya serikali ya awamu ya sita hayahitaji tochi kuyaona,miundo mbinu imeboreshwa,huduma za afya ndo usiseme,watumishi wa umma kupanda vyeo/ madaraja kwa wakati hili halihitaji tochi, mama apewe maua yake
Akili ndogo tu inayohitaji D mbili. Kwa ninj usijenge nyingine mahali pengine. Yani unabomoa ili ujenge wakati ungewezq kujenga zikawa mbili. Hii nchi ina ujinga mwingi sana
Sio hivyo, mambo mazuri ya serikali ya awamu ya sita hayahitaji tochi kuyaona,miundo mbinu imeboreshwa,huduma za afya ndo usiseme,watumishi wa umma kupanda vyeo/ madaraja kwa wakati hili halihitaji tochi, mama apewe maua yake
Hatuoni, ni hivi, hiki sio kizazi Cha ccm, hata mtumie nguvu kubwa kitulazimisha hayo maendeleo, lakini tumeshaichoka ccm. Tunawashukuru kwa haya mnaendeleo kidogo mliyoleta, lakini mkae pembeni Sasa.
RC Chalamila amesema Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa gharama ya Tsh billion 560 kwa Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kusini
Kwahiyo wale mnaosemasema ooh Rais alikuwa India, Ufaransa na sasa Korea Kusini muelewe safari zake ni za kutafuta Maendeleo ya nchi yetu, amesisitiza Dr Chalamila
chadema kupewa nchi hii itachukua miaka 1000 kuanzia leo,nadhani hata wewe hutapata muda wa kuyashuhudia haya unayoyatamani, chadema inakosa dira na uelekeo thabiti kwa wafuasi wake kuwaamini
Hatuoni, ni hivi, hiki sio kizazi Cha ccm, hata mtumie nguvu kubwa kitulazimisha hayo maendeleo, lakini tumeshaichoka ccm. Tunawashukuru kwa haya mnaendeleo kidogo mliyoleta, lakini mkae pembeni Sasa.
chadema kupewa nchi hii itachukua miaka 1000 kuanzia leo,nadhani hata wewe hutapata muda wa kuyashuhudia haya unayoyatamani, chadema inakosa dira na uelekeo thabiti kwa wafuasi wake kuwaamini
Ni kweli cdm haina dira kwa mujibu wa majizi ya ccm. Hata majizi ya KANU huko Kenya walikuwa wanawadanya wananchi wao kuwa wao tu ndio wanaweza kuongoza Kenya, leo hii KANU haipo, na Kenya ina uchumi mzuri kuliko sisi tuliotawaliwa muda wote kwa shuruti na majizi ya ccm.
RC Chalamila amesema Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa gharama ya Tsh billion 560 kwa Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kusini
Kwahiyo wale mnaosemasema ooh Rais alikuwa India, Ufaransa na sasa Korea Kusini muelewe safari zake ni za kutafuta Maendeleo ya nchi yetu, amesisitiza Dr Chalamila
Kazi za kitaalamu, wanasiasa wanataka kuzifanya zao, matokeo yake ndio haya. Haya mambo ya mpango WA maendeleo waachiwe wachumi-Tume ya Mipango na wabunifu majengo. Sio wanasiasa au wale wastaafu waliochaguliwa Tume ya Mipango.
RC Chalamila amesema Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa gharama ya Tsh billion 560 kwa Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kusini
Kwahiyo wale mnaosemasema ooh Rais alikuwa India, Ufaransa na sasa Korea Kusini muelewe safari zake ni za kutafuta Maendeleo ya nchi yetu, amesisitiza Dr Chalamila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.