RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

Yeye anajua watu ni wajinga hivyo watakuwa wamesahau. Huu ujinga ualinzishwa na dhalimu, magu maana ndio alikuwa anakwenda hadi kufungua miradi ya zamani, kisha anajifanya imejengwa wakati wake.
chuki zitakuua,sahivi ndiyo safi, nasikia sekta ya nyumba imeshamiri,jengeni bwana hiyo miradi itamaliziwa baadaye.
 
Kwanini wasijenge mpya sehemu tofauti kama Kigamboni?
 
Ninaunga hoja ivunjwe TU yote ijenge Mpya na yakisasa zaidi hospitali yataifa inazidiwa hadi na ya Mtwara au Chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…