RC Chalamila Jeuri kwa watu wenye kipato cha chini imezidi sasa, mamlaka ya uteuzi ikiendelea kumlea watavuna wote

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,422
Reaction score
7,350

View: https://www.youtube.com/shorts/e-h8zzRwB44?feature=share



RC Chalamila nazani madaraka yamemlevya ..amekua akiwadharau sana watu wa kipato cha chini ,hana lugha mzuri kundi ili la watanzania wenye kipato cha chini .amewashambulia sana wanaume wauza uduvi na kuwaambia wataolewa .

Kumbuka wauza uduvi hao ni baba wa familia ,je wanarudi majumbani kwao wake ,watoto wanawachukuliaje hao wafanya biashara ndogo ndogo

Hizi dharau ambazo amekua akiwadhihaki wanaume au watu wenye kipato cha chini na mamlaka zimakaa kimya ni hatari sana kwa taifa letu.

Chalamila ambae kitaaluma ni Mwalimu, kabla ya kua RC alikua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa ,kama ni mwana CCM maana yake anajua hali za watanzania zilivyo.

Amekua akitoa kashfa sana kwa watanzania wenye kupato cha chini ..watu watachoka.
Baadhi Wasaidizi wa Rais kazi yao kuwachonganisha watanzania na serikali yao,Ulimi umeendikwa sana kwenye biblia

Your browser is not able to display this video.
 
Tumwache aongee maana mdomo ni wake.
Mwl Mwakasege amewahi kufundisha, "kuwa na imani haikufanyi uwe juu ya sheria."
Na mimi ninasema " kuwa kiongozi hakukufanyi uwe juu ya sheria."
sisi wauza uduvi acha tuendelee kupatia vijisenti vyetu, maana hatuna shida na mtu yoyote, awe kiongozi ama lah!
 
Ndiyo alivyotumwa na aliyemteua kwani naye anadharau sana kwa wanaume.
 
Yupo sahihi. Umasikini ni laana. Sio kitu cha kukitukuza. Alaumiwe kwa sababu chama chake kinachangia kuwavuta watu shati na kuwabakiza kwenye umasikini.
 
Yupo sahihi kutoa changamoto kwa vijana kufikiria namna bora zaidi ya kutafuta hela. Huyu uhehe pia umemharibu.

Kauli yake haina tofauti na ya Lema kuhusu kazi ya boda boda.

RC akumbuke pia hizo bill za 30k ni zake wengine tunalipa afu 5 na wengine hawana bill.

Huko ni pwani, asidhan tupo nyanda za juu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…