Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
hizi nyumba walipewa bure,wamepanga au nini kinaendelea au waliuziwa wale wakaazi wa zamani wa vokota vibovuKila siku naona malalamiko kwenye ofisi yangu kutoka kwa wakaaji wa Magomeni kota mara wanalalamika bili ya Maji ni kubwa wameshindwa kulipa wengine wanalalamika kwamba bili ya taka imekuwa kubwa wakati hizo taka wanazalisha wenyewe hii inaonesha wameshindwa kukaa kwenye hizo kota, nashauri kama mtu ukiona huwezi kukaa kwenye majengo ya TBA ya Magomeni basi hama uende Vingunguti", Albert Chalamila - Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Wanalipiahizi nyumba walipewa bure,wamepanga au nini kinaendelea au waliuziwa wale wakaazi wa zamani wa vokota vibovu
yupo sahihi. hao watu wa kota za magomeni sijui wabebweje kwa mbeleko gani.Kila siku naona malalamiko kwenye ofisi yangu kutoka kwa wakaaji wa Magomeni kota mara wanalalamika bili ya Maji ni kubwa wameshindwa kulipa wengine wanalalamika kwamba bili ya taka imekuwa kubwa wakati hizo taka wanazalisha wenyewe hii inaonesha wameshindwa kukaa kwenye hizo kota.
Nashauri kama mtu ukiona huwezi kukaa kwenye majengo ya TBA ya Magomeni basi hama uende Vingunguti"
View attachment 3050335
🤣🤣Utajua hujuiKila siku naona malalamiko kwenye ofisi yangu kutoka kwa wakaaji wa Magomeni kota mara wanalalamika bili ya Maji ni kubwa wameshindwa kulipa wengine wanalalamika kwamba bili ya taka imekuwa kubwa wakati hizo taka wanazalisha wenyewe hii inaonesha wameshindwa kukaa kwenye hizo kota.
Nashauri kama mtu ukiona huwezi kukaa kwenye majengo ya TBA ya Magomeni basi hama uende Vingunguti"
View attachment 3050335
Kuna kupima mkojo huyu mpimeni kinyesi sio steji aliyofikia kwenye akili zakeKila siku naona malalamiko kwenye ofisi yangu kutoka kwa wakaaji wa Magomeni kota mara wanalalamika bili ya Maji ni kubwa wameshindwa kulipa wengine wanalalamika kwamba bili ya taka imekuwa kubwa wakati hizo taka wanazalisha wenyewe hii inaonesha wameshindwa kukaa kwenye hizo kota.
Nashauri kama mtu ukiona huwezi kukaa kwenye majengo ya TBA ya Magomeni basi hama uende Vingunguti"
View attachment 3050335
Mani alitaka kufanya nn mkuu?Huu ndio ukweli ambao wengi hawatapenda kusikia, ila hili la maji, nilisikia Waziri akiliongelea!
Hapo Magomeni Manji alitaka kupaendeleza, JPM akaamua kufanya siasa, akatangaza kuwajengea hao wananchi nyumba hizo ili kumkomesha Manji, wakati mezani kulikuwa na option ya kuwafidia waondoke. Tangu lini serikali kuu ikajengea mwananchi wa kawaida nyumba?!
Sasa wameshakuwa kama watoto, wanalia lia kwa kila kitu, hata wakishindwa ku-pass wind, watalalamika, kuna siku watasema hakuna sehemu ya kuchezea kigodoro, serikali iwafikirie kuwajengea.
Its possible hata design ya mradi huo haukulenga wale wenye maisha ya kuunga unga, unit title inahitaji wanaojiweza, wanakuwa na uongozi au mfumo wa kulipia gharama za pamoja.. waanze kulipia kodi ya majengo na ardhi
Wakazi wanataka kila mtu apewe bili yake na si ya jumla kisha wachange.Licha ya ukali wa kauli ila ndio ukweli,
Sometimes tuache kulia kulia, ukiona bill kubwa hama
RC wa KisasaKila siku naona malalamiko kwenye ofisi yangu kutoka kwa wakaaji wa Magomeni kota mara wanalalamika bili ya Maji ni kubwa wameshindwa kulipa wengine wanalalamika kwamba bili ya taka imekuwa kubwa wakati hizo taka wanazalisha wenyewe hii inaonesha wameshindwa kukaa kwenye hizo kota.
Nashauri kama mtu ukiona huwezi kukaa kwenye majengo ya TBA ya Magomeni basi hama uende Vingunguti"
View attachment 3050335