RC Chalamila: Kama huwezi kuishi kota za Magomeni, hamia Vingunguti

RC Chalamila: Kama huwezi kuishi kota za Magomeni, hamia Vingunguti

Huyu naye amezidi kuropoka ropoka sana,siku zake zinahesabika..... yaani Tz unajiuliza hatuna watu smart Kweli kuwa viongozi mpaka tuwe na wajinga wajinga tu? Sijui Tz tumemkosea nini Mungu 😔
Chalamila huwa anaropoka, tena anaropoka vibaya sana.

Lakini, uzuri mmoja wa mtu anayeropoka bila filter, huwa anasema ukweli anavyoujua yeye bila unafiki.

Na katika hili, serikali imejichanganya yenyewe.

Kwa sababu ilishauza nyumba zake kwa kujitoa kwenye habari za nyumba, kwa nini imejenga tena? Kwa nini serikali haikuachia sekta binafsi?

Hiwezi kufanikiwa kuwapa watu wasio na uwezo makazi mazuri bila ya kuwapatia nafasi ya kujiendeleza kiuchumi kuendana na makazi hayo.
 
Huyu naye amezidi kuropoka ropoka sana,siku zake zinahesabika..... yaani Tz unajiuliza hatuna watu smart Kweli kuwa viongozi mpaka tuwe na wajinga wajinga tu? Sijui Tz tumemkosea nini Mungu 😔
Mkuu ukiwa na akili halafu ukatqe kufanya siasa, hapo ni moja kwa moja umekubali kuongozwa na wasio na akili.
 
Hii kiburi ya RC Chalamila inatoka wapi? Hivyo ndivyo alivyowajibu wananchi wa Magomeni Magorofa ambao hawawezi kulipa kodi ya taka

View attachment 3050596
My Take:
Rais Samia huyu Chalamila anakuharibia Dar es Salaam big time
Hajajifunza kwa Nape huyu........

Maza sshv anajinyenyekeza kwa wananchi apate kura.

Yy anawakera wananchi wake
 
hizi nyumba walipewa bure,wamepanga au nini kinaendelea au waliuziwa wale wakaazi wa zamani wa vokota vibovu
Wamepewa Bure kwa miaka Mitano.
Wanalipia Service Charge 30,000 kwa Mwezi na kulipia Umeme wa Jengo na hivyo gharama ni Kama 50,000 kwa Mwezi.
Baada ya miaka 5, itabidi wazinunue au wauze kwa watu watakaokuwa wanataka kununua.
Ndiyo maana hata Magufuli alisema kabisa baada ya miaka 5, wengi watauza.
Ila kuna makandokando mengi hapo Magomeni Kota.
 
Zamani kwenye vile vikota walikuwa wanajiuzia mkaa, magenge, vitumbua na visheti. Huko ghorofani utauzaje mkaa. Mradi wowote wa kuwajengea maskini maghorofa huwa unafeli sababu masikini makazi yake ndiyo ofisi yake.
Kuna Soko hapo hapo Kota karibu na TANESCO na wengi ni Wakazi wamefungua maduka na Meza za Soko.
Hizo huduma zipo ila sema kuna kimwendo kidogo. Ila hata Watoto wadogo wanatumwa Sokoni na Dukani.
 
RC yuko sahihi. Hao maskini hata ungewaambia wasilipe chochote bado wangelalamika tu.
 
Mkeka ukitoka yy ndio atahamia vingunguti.
Huyu chalamila kuna vitu vikali anatumia na anamka akiwa havijaisha mwilini.!!
 
Ndugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000; 3000 kuwa 4000; 500 kuwa 600; 1000 kuwa 1200.
 
Wamepewa Bure kwa miaka Mitano.
Wanalipia Service Charge 30,000 kwa Mwezi na kulipia Umeme wa Jengo na hivyo gharama ni Kama 50,000 kwa Mwezi.
Baada ya miaka 5, itabidi wazinunue au wauze kwa watu watakaokuwa wanataka kununua.
Ndiyo maana hata Magufuli alisema kabisa baada ya miaka 5, wengi watauza.
Ila kuna makandokando mengi hapo Magomeni Kota.
so hii service charge ya 30,000 ndo wamewekewa vitasa
nayo inawachenga?
 
Ndugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000; 3000 kuwa 4000; 500 kuwa 600; 1000 kuwa 1200.
Azam tv burudani kwa wote.
 
Waliojenga nyumba ni TBA ambapo ni sawa na TRCL, ATCL, TAA, NIC etc.
TBA ni shirika na siyo Serikali kama Serikali chini ya Wizara.
Kwa kuwa nalifahamu hili tatizo, nakubaliana na Chalamila kwa hili.
Unaweza kuishi wapi Dar nyumba ya walau vyumba viwili na ukalipa kwa mwezi 50,000?
Na bado hiyo nayo unaona ni kubwa.
Hadi leo wanaishi BURE, je wataweza kuzinunua nyumba hizo maana baada ya miaka 5 ni lazima waziuze kama ulivyosema na Wananchi wazinunue. Sasa kwenye kununua ndiyo maana hata Magufuli alisema wengi WATAUZA.

Huwa wakibanwa kwamba watafukuzwa, wanalipa wote.

Pale Magomeni Kota ni Kota kwelikweli 🙂

Chalamila huwa anaropoka, tena anaropoka vibaya sana.

Lakini, uzuri mmoja wa mtu anayeropoka bila filter, huwa anasema ukweli anavyoujua yeye bila unafiki.

Na katika hili, serikali imejichanganya yenyewe.

Kwa sababu ilishauza nyumba zake kwa kujitoa kwenye habari za nyumba, kwa nini imejenga tena? Kwa nini serikali haikuachia sekta binafsi?

Hiwezi kufanikiwa kuwapa watu wasio na uwezo makazi mazuri bila ya kuwapatia nafasi ya kujiendeleza kiuchumi kuendana na makazi hayo.
 
Why is this piece of rotten shit still in office???????
 
Waliojenga nyumba ni TBA ambapo ni sawa na TRCL, ATCL, TAA, NIC etc.
TBA ni shirika na siyo Serikali kama Serikali chini ya Wizara.
Kwa kuwa nalifahamu hili tatizo, nakubaliana na Chalamila kwa hili.
Unaweza kuishi wapi Dar nyumba ya walau vyumba viwili na ukalipa kwa mwezi 50,000?
Na bado hiyo nayo unaona ni kubwa.
Hadi leo wanaishi BURE, je wataweza kuzinunua nyumba hizo maana baada ya miaka 5 ni lazima waziuze kama ulivyosema na Wananchi wazinunue. Sasa kwenye kununua ndiyo maana hata Magufuli alisema wengi WATAUZA.

Huwa wakibanwa kwamba watafukuzwa, wanalipa wote.

Pale Magomeni Kota ni Kota kwelikweli 🙂

Tovuti ya TBA, ukurasa wa "Sisi ni Nani" unaanza kwa kusema "Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ni taasisi ya serikali chini ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi".

Sasa hapo utasemaje si shirika la serikali chini ya wizara?

Serikali ilikuwa haina haja ya kuwa na hilo shirika la TBA na hiyo sehemu ilitakiwa kuwa na nyumba za makampuni ya watu binafsi.

Pia, serikali ingeweza kuweka sheria kwamba kwa kila units fulani za nyumba zitakazojengwa, kuwe na units fulani za low income housing kuhakikisha watu wa kipato cha chini nao wanapata fursa ya kuishi mjini.

Kwa mpango huo, serikali ingejiondoa kwenye kazi za kuwa landlord, kama alivyotaka Mkapa alipouza mashirika ya serikali na kugawa nyumba zake, na watu wa kipato cha chini wangekuwa na nafasi bado ya kuishi mijini.

Ndiyo watu wanavyofanya hivyo.

Sasa sisi serikali yetu haijui inaenda au inarudi, mara inauza nyumba kwa sababu haitaki kuwa na nyumba, mara inajenga nyumba.

Ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom