Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo vingunguti ndo wanakaa watu ambao hawawezi ishi maghorofani, hapo mkuu wa mkoa ameteleza kabisaKila siku naona malalamiko kwenye ofisi yangu kutoka kwa wakaaji wa Magomeni kota mara wanalalamika bili ya Maji ni kubwa wameshindwa kulipa wengine wanalalamika kwamba bili ya taka imekuwa kubwa wakati hizo taka wanazalisha wenyewe hii inaonesha wameshindwa kukaa kwenye hizo kota.
Nashauri kama mtu ukiona huwezi kukaa kwenye majengo ya TBA ya Magomeni basi hama uende Vingunguti"
View attachment 3050335
Anawaona Kama ng'ombe wenye mimbaHuyu jamaa sisi wa Vingunguti anatuchukuliaje?
Unapajua vingunguti!?..ukipita na daladala utosi wa nyumba unauonaKwa hiyo vingunguti ndo wanakaa watu ambao hawawezi ishi maghorofani, hapo mkuu wa mkoa ameteleza kabisa
GT huko zako masaki huko affluent heavily gated neighbourhood/community. Hamfahamiani hata na majirani.Huyu jamaa sisi wa Vingunguti anatuchukuliaje?
Wanalipiahizi nyumba walipewa bure,wamepanga au nini kinaendelea au waliuziwa wale wakaazi wa zamani wa vokota vibovu
Ujue nimecheka ka mchana vileHuyu jamaa sisi wa Vingunguti anatuchukuliaje?
Jamani jamani kaahh[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Unapajua vingunguti!?..ukipita na daladala utosi wa nyumba unauona
Sasa kumbeee jeeKwa hiyo vingunguti ndo wanakaa watu ambao hawawezi ishi maghorofani, hapo mkuu wa mkoa ameteleza kabisa
Hata kama yupo si kwa kauli hizo. Kiongozi lazima uwe na staha si kuropoka ropoka, ndio maana anadharaulika na raia. Aige kwa mkurugenzi mpya wa TRAYuko sahihi,
Wewe kama huwezi kulipa kodi ya kuzoa taka hamia vingunguti ukaishi na uchafu sebuleni kwako
Tabia ya kupaka mafuta maneno ndio imetufikisha hapa,Hata kama yupo si kwa kauli hizo. Kiongozi lazima uwe na staha si kuropoka ropoka, ndio maana anadharaulika na raia. Aige kwa mkurugenzi mpya wa TRA
hivi kabila gani huyu?dah mkuu ana hasira huyu
Hivi kwa nini wasiwajengee nyumba ndogo za kawaida hata za vyumba vitatu maeneo kama Mabwepande,Bunju au TegetaWananchi wa magomeni Kota wengi wao ni walalahoi, hawawezi ku afford gharama za kuishi pale, tumepoteza hela walitakiwa wajipate kwanza...ukweli mchungu kumeza
Mla umbwahivi kabila gani huyu?