Huu ndio ukweli ambao wengi hawatapenda kusikia, ila hili la maji, nilisikia Waziri akiliongelea!
Hapo Magomeni Manji alitaka kupaendeleza, JPM akaamua kufanya siasa, akatangaza kuwajengea hao wananchi nyumba hizo ili kumkomesha Manji, wakati mezani kulikuwa na option ya kuwafidia waondoke. Tangu lini serikali kuu ikajengea mwananchi wa kawaida nyumba?!
Sasa wameshakuwa kama watoto, wanalia lia kwa kila kitu, hata wakishindwa ku-pass wind, watalalamika, kuna siku watasema hakuna sehemu ya kuchezea kigodoro, serikali iwafikirie kuwajengea.
Its possible hata design ya mradi huo haukulenga wale wenye maisha ya kuunga unga, unit title inahitaji wanaojiweza, wanakuwa na uongozi au mfumo wa kulipia gharama za pamoja.. waanze kulipia kodi ya majengo na ardhi