RC Chalamila: Kama huwezi kuishi kota za Magomeni, hamia Vingunguti

Wananchi wa magomeni Kota wengi wao ni walalahoi, hawawezi ku afford gharama za kuishi pale, tumepoteza hela walitakiwa wajipate kwanza...ukweli mchungu kumeza
 
Kwa hiyo vingunguti ndo wanakaa watu ambao hawawezi ishi maghorofani, hapo mkuu wa mkoa ameteleza kabisa
 
Kwa hiyo vingunguti ndo wanakaa watu ambao hawawezi ishi maghorofani, hapo mkuu wa mkoa ameteleza kabisa
Sasa kumbeee jee
Vigodoro tutacheza saa ngapi?!!
Mkaa tutauzia wapi,askirimu,maji dagaa kauzu n.k
Sisi waswahili jamani

Maisha yetu ya kupima kwa kopo kuanzia mchele mpk umeme
 
Wenye experience ya kuishi kwenye haya majengo ya pamoja, especially yale premium, Service & utility charges huwa ni shilingi ngapi kwa mwezi?.
 
Hii kiburi ya RC Chalamila inatoka wapi? Hivyo ndivyo alivyowajibu wananchi wa Magomeni Magorofa ambao hawawezi kulipa kodi ya taka

Your browser is not able to display this video.

My Take:
Rais Samia huyu Chalamila anakuharibia Dar es Salaam big time
 
Huyu naye amezidi kuropoka ropoka sana,siku zake zinahesabika..... yaani Tz unajiuliza hatuna watu smart Kweli kuwa viongozi mpaka tuwe na wajinga wajinga tu? Sijui Tz tumemkosea nini Mungu 😔
 
Wananchi wa magomeni Kota wengi wao ni walalahoi, hawawezi ku afford gharama za kuishi pale, tumepoteza hela walitakiwa wajipate kwanza...ukweli mchungu kumeza
Hivi kwa nini wasiwajengee nyumba ndogo za kawaida hata za vyumba vitatu maeneo kama Mabwepande,Bunju au Tegeta
 
Japokuwa ni mropokaji hasa akishavuta kitu cha Njombe, lakini katika hili yuko sahihi, sasa wanataka nani awalipie umeme, maji na gharama za kuzoa taka wakati wenyewe ndiyo watumiaji? Malalamiko yao ni hayana mantiki kama yamewashinda ya Magorofani wauze wakajenge Chanika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…