johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema katika kuikabili Corona mh Mbowe wa Chadema aliona shetani, majeneza na vifo ndio maana aliogopa na kukimbilia chumbani kujificha yeye na kundi lake.
Lakini Rais Magufuli alimwona Mungu akazipeleka haja zetu mbele zake, Mungu akatupigania nasi tumeuona mkono wa Mungu ukiitokomeza Corona.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Lakini Rais Magufuli alimwona Mungu akazipeleka haja zetu mbele zake, Mungu akatupigania nasi tumeuona mkono wa Mungu ukiitokomeza Corona.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!