RC Chalamila: Mbowe aliona shetani, majeneza na vifo lakini Rais Magufuli alimuona Mungu na kuishinda Corona

RC Chalamila: Mbowe aliona shetani, majeneza na vifo lakini Rais Magufuli alimuona Mungu na kuishinda Corona

Chalamila yuko sahihi mtu yeyote muovu mwenye mashetani huona tu Yale ambaye Mungu wake shetani anataka kufanya . Chadema Mungu wao shetani ndio maana waliona tu matendo ya shetani tarajiwa

Mtu wa Mungu humwona tu Mungu hata ndani ya Moto.Shadrak meshaki na Abednego walimwona Mungu kwenye Moto japo Moto ulikuwepo hawakuona Moto vivyo hivyo Daniel ndani ya Tundu la Simba hakuona Simba japo walikuwepo alimuona Mungu

Magufuli ni mtu wa Mungu kwenye Corona hakuona corona alimuona Mungu tu japo corona ilikuwepo na tumeshinda Kama taifa

Chadema na miamini mishetani mienzie akina Askofu Bagonza wa KKKT na Askofu Niwermugizi wa Katoliki waliona mashetani tu na vifo visivyohesabika wakafungia Hadi watu wasiabudu kanisani

Hongera mtu wa Mungu Maguifuli .

Pepo Mbowe,pepo chadema, pepo Niwermugizi,pepo Bagonza toka kwa jina la Yesu
serikali ya kikristo
 
Chalamila yuko sahihi mtu yeyote muovu mwenye mashetani huona tu Yale ambaye Mungu wake shetani anataka kufanya . Chadema Mungu wao shetani ndio maana waliona tu matendo ya shetani tarajiwa

Mtu wa Mungu humwona tu Mungu hata ndani ya Moto.Shadrak meshaki na Abednego walimwona Mungu kwenye Moto japo Moto ulikuwepo hawakuona Moto vivyo hivyo Daniel ndani ya Tundu la Simba hakuona Simba japo walikuwepo alimuona Mungu

Magufuli ni mtu wa Mungu kwenye Corona hakuona corona alimuona Mungu tu japo corona ilikuwepo na tumeshinda Kama taifa

Chadema na miamini mishetani mienzie akina Askofu Bagonza wa KKKT na Askofu Niwermugizi wa Katoliki waliona mashetani tu na vifo visivyohesabika wakafungia Hadi watu wasiabudu kanisani

Hongera mtu wa Mungu Maguifuli .

Pepo Mbowe,pepo chadema, pepo Niwermugizi,pepo Bagonza toka kwa jina la Yesu

Sikuwahi kudhani kuna binadamu anaweza kutumia akili yake kuona wanadamu kwa macho ya kiMungu na kusema fulani ni msafi kuliko fulani.

Mathayo 23:25
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema katika kuikabili Corona mh Mbowe wa Chadema aliona shetani, majeneza na vifo ndio maana aliogopa na kukimbilia chumbani kujificha yeye na kundi lake.

Lakini Rais Magufuli alimwona Mungu akazipeleka haja zetu mbele zake, Mungu akatupigania nasi tumeuona mkono wa Mungu ukiitokomeza Corona.

Chanzo: Ayo tv

Maendeleo hayana vyama!
Wanaccm ni chaguo la Mungu, je, binadamu wengine ni chaguo la shetani?
 
Chalamila yuko sahihi mtu yeyote muovu mwenye mashetani huona tu Yale ambaye Mungu wake shetani anataka kufanya . Chadema Mungu wao shetani ndio maana waliona tu matendo ya shetani tarajiwa

Mtu wa Mungu humwona tu Mungu hata ndani ya Moto.Shadrak meshaki na Abednego walimwona Mungu kwenye Moto japo Moto ulikuwepo hawakuona Moto vivyo hivyo Daniel ndani ya Tundu la Simba hakuona Simba japo walikuwepo alimuona Mungu

Magufuli ni mtu wa Mungu kwenye Corona hakuona corona alimuona Mungu tu japo corona ilikuwepo na tumeshinda Kama taifa

Chadema na miamini mishetani mienzie akina Askofu Bagonza wa KKKT na Askofu Niwermugizi wa Katoliki waliona mashetani tu na vifo visivyohesabika wakafungia Hadi watu wasiabudu kanisani

Hongera mtu wa Mungu Maguifuli .

Pepo Mbowe,pepo chadema, pepo Niwermugizi,pepo Bagonza toka kwa jina la Yesu

Taratibu na mdomo wako.
Ina maana wote wanaovaa barakoa ni mashetani?
Kujikinga ni jambo la muhimu sana na hata hao viongozi wa nchi japo unasema walimwona Mungu, pia wanashauri watu wajikinge na COVID19
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema katika kuikabili Corona mh Mbowe wa Chadema aliona shetani, majeneza na vifo ndio maana aliogopa na kukimbilia chumbani kujificha yeye na kundi lake.

Lakini Rais Magufuli alimwona Mungu akazipeleka haja zetu mbele zake, Mungu akatupigania nasi tumeuona mkono wa Mungu ukiitokomeza Corona.

Chanzo: Ayo tv

Maendeleo hayana vyama!

Taratibu na mdomo wake. COVID19 ikipiga hodi kwake ndipo atakapo jitambua.
Ina maana wote wanaovaa barakoa ni mashetani?
Kujikinga ni jambo la muhimu sana na hata hao viongozi wa nchi japo anasema walimwona Mungu, pia wanashauri watu wajikinge na COVID19
 
Back
Top Bottom