Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Tena ilifaa mh Chalamila aanze na wewe akutwange hilo limdomo lako unalotukaniaga mimatusi yako kama kichaa.
So nchi inaendeshwa kwa utii wa sheria au matapiko ya wanasiasa?Tena ilifaa mh Chalamila aanze na wewe akutwange hilo limdomo lako unalotukaniaga mimatusi yako kama kichaa.
Nenda ukamtanie na mibangi yako uone namna atakavyo kuvimbisha sura lako hiloMikwala tu hana lolote, anatamba kwakuwa yupo na askari hapo!.
Tofauti na hapo bw. Chalamila ni mchumba tena mrembo!.
Wewe inatakiwa akunyakue na kukutandikaaa vibao mpaka uumuke mimashavu yako πππHuyu pimbi wa Kihehe anaongea hayo kwa vile yuko na Polisi nyuma yake. Otherwise huyo kibushuti hana lolote katika utaalamu wa ndondi.
Mtu kiduchu kama Chalamila na kichwa kile kama kiazi hawazi akapigana hata na konda wa daladala. Atqpigwa kwamq mwanamke
Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
Nenda ukaonyeshwe mfano ukirudi hapa uje uandike tena ukiwa huna menoπππKashawahi toa hyo silaha au kupigana wapi nchi hii, mbona hatujawahi sikia tukio lake.
Kama hakuna kiongozi nenda kafanya vurugu uvunjwe miguuOnce again dsm hamna kiongozi safari hii. Mko auto pilot
Amenikumbusha enzi za bashite!Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
πππ Ni kuchapa tu mijitu kama akina Mdude inayotukana matusi ni kutandika tu hamna namnamkuu Lucas... Kwamba ni kuwagonga ngumi tu wote wanaozingua? hahaha
-Kaveli-
Amewahi kufanya vurugu wapi?Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
Tena ikibidi usakwe mpaka ukamatwe na kufikishwa mikononi mwa mh RC ule kibano.Dar hatuna RC tuna taahira wa akili