Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,443
- 8,903
- Thread starter
- #41
Amenikumbusha enzi za bashite!
MaRC wa Dar sijui huwa wanalewa nini?😄
Kuna nyakati, nadhani, Mzizima huhitaji viongozi 'wangu wangu' kama hivyo... yaani mtu wa dakika mbili mbele.
Anakwambia akichukiaga anamwaga ngumi kweli kweli, na hujakaa sawa keshakuchomolea 'mkwaju' . 😄
-Kaveli-