Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Sheria zinahusiana na maovu kwenye jamii. RC ana-condone kujichukulia sheria mikononi na mamlaka za uteuzi zinaangalia kama vile hazisikii. Bad...Mkuu, nini maoni yako endapo Mh RC kuna watu wanamzingua?
-Kaveli-
Hii ni red flag. Huyu Chalamila anatakiwa awe chini ya uangalizi maalum na anyang'anywe silaha zote anazomiliki. Kuna siku atauwa watu mje muanze kusema "kuna siku alisema ataua watu"Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
Huyu jamaa atakuwa wa ndumu na ngada sana naamini,duh!Yeah,ndio teule za Samia hizi.Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
Mazingira yenyewe ni bangi anayovutia chooni, RC mzima wala hajali cheo chake.Pengine labda mazingira aliyokuwepo yalimfanya aongee hivyo mkuu.
-Kaveli-
Labda akupige wewe, mimi kabla hajanifikia atanjinyoga mwenyeweWewe inatakiwa akunyakue na kukutandikaaa vibao mpaka uumuke mimashavu yako 😄😄😄
Ahahahahaahahahahahahahahhahahaah bro umenichekesha mno!Huyu pimbi wa Kihehe anaongea hayo kwa vile yuko na Polisi nyuma yake. Otherwise huyo kibushuti hana lolote katika utaalamu wa ndondi.
Mtu kiduchu kama Chalamila na kichwa kile kama kiazi mbatata hawezi akapigana hata na konda wa daladala. Atapigwa kama mwanamke aliyefumaniwa
Kwàni jamaa ana mishavue?Wewe inatakiwa akunyakue na kukutandikaaa vibao mpaka uumuke mimashavu yako 😄😄😄
Huyu ni mpumbavu.Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
Niko mbali na mkoa wa Dasalam ila kwa kauli ya mheshimiwa Chalamila ningesimama kuitetea Dar kwa kuomba pambano na huyo mnyalu ili ajue wanaume wa Dar hasa wa kutoka Keko hatuna shughuli ndogo hata kidogo .Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
Nenda kalete vurugu uone cha mtema kuni utakavyo chapwa ngumi mchomoko mpaka uone nyota nyota zikiruka ruka usoni kwako.Labda akupige wewe, mimi kabla hajanifikia atanjinyoga mwenyewe
Acha blaa blaa wewe utavunjwa miguu tu hiyo uanze kubebwa kama mbuzi epelekwaye machinjioni.Niko mbali na mkoa wa Dasalam ila kwa kauli ya mheshimiwa Chalamila ningesimama kuitetea Dar kwa kuomba pambano na huyo mnyalu ili ajue wanaume wa Dar hasa wa kutoka Keko hatuna shughuli ndogo hata kidogo .
Mwambieni ashukuru mtetezi wa watu wa Dar niko nje ya mkoa kwasasa.