RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.

Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!

Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868

Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.

-Kaveli-
Ana mambo ya kiseng seng kijinga jinga mno, simbilisi kabisa
 
Huyu pimbi wa Kihehe anaongea hayo kwa vile yuko na Polisi nyuma yake. Otherwise huyo kibushuti hana lolote katika utaalamu wa ndondi.

Mtu kiduchu kama Chalamila na kichwa kile kama kiazi mbatata hawezi akapigana hata na konda wa daladala. Atapigwa kama mwanamke aliyefumaniwa
Yeye anafikiri kuongea na kuingia field ni sawa
 
Dar ndy sehem pekee watu wanapigana na maneno aka mipasho yaan unaona wanakaribia kuzichapa kumbe hamna ni mipasho tu huku wengine wakisikilizia mipasho huku wanasema "weuwee pambeee jamani "
NB: hiyo ni kwawote yaan wanaume na wanawake pia.
 
Yeye anafikiri kuongea na kuingia field ni sawa
Si mara ya Kwanza namsikia anaongelea kutumia silaha kiholela. Akiwa Mbeya nakumbuka vizuri kabisa aliwahi kusema alipokuwa Mwenyekiti wa CCM Iringa alifyatilia risasi kibaka aliyejaribu kuruka uzio wa nyumba yake "akamuulia mbali" na video ilikuwa YouTube labda kama waliichomoa.
 
RC Nyapala Mzee Msela toka ukoo wa Panya.
Sifa nyingiii anasahau yanayomtoka hayarudi mdomoni.
 
Hawa watu wamwendazake, watasumbua Sana nchi hii. Kwa haya tunayoyasikia hapa huyu Nae alikuwa kiongozi wa wasiojulikana.
 
Huyu pimbi wa Kihehe anaongea hayo kwa vile yuko na Polisi nyuma yake. Otherwise huyo kibushuti hana lolote katika utaalamu wa ndondi.

Mtu kiduchu kama Chalamila na kichwa kile kama kiazi mbatata hawezi akapigana hata na konda wa daladala. Atapigwa kama mwanamke aliyefumaniwa
😀😀😀😂😂😂😂 Kuna watu mmepinda 🙌🙌
 
Back
Top Bottom