Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi niombe mechi mtanange mimi na RCMtakatifu Anne... uko poa aunt?
Daslamu sasa ni mwendo wa kuchapwa ndoige tu wakimzingua RC . 😄
-Kaveli-
Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kave
Sasa katukana nini hapo?Mteule wa rais huyo anaongea hivyo halafu bado tu yuko kazini kutukana wananchi ambao hawakumchagua.
System ya hovyo sana tuliyonayo na ndiyo maana hata mwendazake makosa yalikuwa haya haya system mbovu.
Hovyo kabisa.
Mbona umekidharau sana cheo Cha udiwani!.diwani anachaguliwa ATI.Huyu kwa Nchi serious hafai kuwa hata diwani.
MTU MZIMA HOVYOOOO!... ULIWAHI KUONA NCHI GANI ULIMWENGUNI HATA MEYA AKASIMAMA AKAZUNGUMZA HADHARANI MANENO YA KUJINADI NA VITISHO NAMNA HIYO?!Sasa katukana nini hapo?
Jemoma acha kabisa mdogo wangu,hii nchi ngumu sana hii.So nchi inaendeshwa kwa utii wa sheria au matapiko ya wanasiasa?
Punguani wa aina hii wanabakije kwenye ofisi za umma?Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
RC Washughulikiwe wanaoendekeza vurugu watuache tuishi kwa amaniPunguani wa aina hii wanabakije kwenye ofisi za umma?
Hakika, awanyooshe wanaotaka kujifanya eti hawatishwiHawa ndio wanatakiwa, mliona yule mpole panya road tu walimshinda
Kwa bahati mbaya ni kuwa watu wanao jielewa hawaitajiki kwenye nchi yetu😭😭😭Huyu kwa Nchi serious hafai kuwa hata diwani.
I agree, 1000 percent, it comes from the top. President is whistling the dog.Majitu mapumbavu kama haya ni perfect reflection ya aliyewateua
We lya bwana iwe we lipukupuku nkani.Nenda ukamtanie na mibangi yako uone namna atakavyo kuvimbisha sura lako hilo