RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

Mtakatifu Anne... uko poa aunt?

Daslamu sasa ni mwendo wa kuchapwa ndoige tu wakimzingua RC . 😄

-Kaveli-
Inabidi niombe mechi mtanange mimi na RC
Ni mwendo wa kubonda kichwa chake kile penye upara.

Jamaa anajifyatua tu ila deep down ni mtu poa sana.

Nipo Mkuu 🙏
 
Tuna viongozi hawajakomaa. RC ana vyombo chini yake na juu yake. Wako wenye vyombo hivo. Awaagize.
Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.

Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!

Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868

Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.

-Kave
 
Mteule wa rais huyo anaongea hivyo halafu bado tu yuko kazini kutukana wananchi ambao hawakumchagua.

System ya hovyo sana tuliyonayo na ndiyo maana hata mwendazake makosa yalikuwa haya haya system mbovu.

Hovyo kabisa.
Sasa katukana nini hapo?
 
Mh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.

Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!

Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868

Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.

-Kaveli-
Punguani wa aina hii wanabakije kwenye ofisi za umma?
 
Ameamriwa aongee pumba ili ile kauli yake ya mkome kama mlivyokoma kwenye maziwa ya mama yenu itumike kumpa kiki kaimu pm ili chalamila aende morogoro.
 
Majitu mapumbavu kama haya ni perfect reflection ya aliyewateua
I agree, 1000 percent, it comes from the top. President is whistling the dog.

Ningetamani sana kumuuliza Rais Samia na Marais wetu hata waliostaafu, ni nini au experince gani katika maisha ya nchi hii yaliyowafanya waone watu hawatawaliki bila vitisho, nguvu, virungu, rumande, imprisonments, mikwara kutwa kucha. Why the hell ??
 
Back
Top Bottom