Ana mambo ya kiseng seng kijinga jinga mno, simbilisi kabisaMh RC Chalamila amewachana wakuda wake kuwa kwenye suala la 'one & two' a.k.a ndondi a.k.a ngumi jiwe, yuko njema na anazichapa kweli kweli ukimzingua.
Aidha, Mh RC ameongeza kuwa yeye kuhusu kuchomoa mashine na 'kukinukisha' huwa ni dakika mbili tu, na hakuna mtu yeyote wa kumfanya chochote!
Video hii hapa, inatrend huko mitandaoni kwa kasi ya fighter jet...
View attachment 2767868
Long live mwamba Chalamila. Anayekuzingua, mzingue. Kazi iendelee.
-Kaveli-
Yeye anafikiri kuongea na kuingia field ni sawaHuyu pimbi wa Kihehe anaongea hayo kwa vile yuko na Polisi nyuma yake. Otherwise huyo kibushuti hana lolote katika utaalamu wa ndondi.
Mtu kiduchu kama Chalamila na kichwa kile kama kiazi mbatata hawezi akapigana hata na konda wa daladala. Atapigwa kama mwanamke aliyefumaniwa
Wewe jamaa lazima utakuwa ni mtoto wa watu yaani unaliwa jichoNenda ukaonyeshwe mfano ukirudi hapa uje uandike tena ukiwa huna meno[emoji1][emoji1][emoji1]
Si mara ya Kwanza namsikia anaongelea kutumia silaha kiholela. Akiwa Mbeya nakumbuka vizuri kabisa aliwahi kusema alipokuwa Mwenyekiti wa CCM Iringa alifyatilia risasi kibaka aliyejaribu kuruka uzio wa nyumba yake "akamuulia mbali" na video ilikuwa YouTube labda kama waliichomoa.Yeye anafikiri kuongea na kuingia field ni sawa
Hii haijawahi nchi bado iko kwenye majaribioHuyu kwa Nchi serious hafai kuwa hata diwani.
Anafaa sana.Anapaswa awe anawapa furaha muda wote.Do not take everything too serious,boss!Huyu kwa Nchi serious hafai kuwa hata diwani.
Inatakiwa usakwe uchapwe viboko huku kichwa kikiwa chini miguu juu mpaka ushike adabuAna mambo ya kiseng seng kijinga jinga mno, simbilisi kabisa
Milembe wanakuhitajiInatakiwa usakwe uchapwe viboko huku kichwa kikiwa chini miguu juu mpaka ushike adabu
Ninyi ndio watu ambao mnapaswa kuchapwa ngumi na mh mpaka msahau viatuMilembe wanakuhitaji
πππππππ Kuna watu mmepinda ππHuyu pimbi wa Kihehe anaongea hayo kwa vile yuko na Polisi nyuma yake. Otherwise huyo kibushuti hana lolote katika utaalamu wa ndondi.
Mtu kiduchu kama Chalamila na kichwa kile kama kiazi mbatata hawezi akapigana hata na konda wa daladala. Atapigwa kama mwanamke aliyefumaniwa