RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
 
 

Kkanisa la Rc lifutwe nchini litaleta machafuko
 
Kituko kingine.....
Hakika Chama kimepoteza muelekeo...
 
Anaota huyo akaulize Idd Amin kilichomkuta hadi akapinduliwa uasi ulianzia kanisani baada ya kunyanyasa kanisa na kuua Askofu Luwun na viongozi wa dini kibao kuwa hataki makanisa anata kuislimisha Uganda kwa pesa na jeuri aliyompa Ghaddafi ya msaada wa pesa na kijeshi aue Ukristo.Uganda kilichomkuta Chalamila anajua

Hapo Zambia tu Raisi aliyepita Edgar Lungu alikuwa mnyanyasaji wa dini ndogo hakuna kama yeye alitaka dini wabaki wakatoliki tu makanisa mengine akiwafanyia kitu mbaya wakajiunga na kuanzisha harakati za kumtoa .Zambia sasa hivi ina Raisi Msabato Raisi Hichlema

Chalamila anaonyesha kalewa madaraka

Hapo alipoongelea kanisa la TAG sio watoto wadogo .Mjinga sana huyo.

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliitoka hapo Mchungaji Dk Kipilimba , Spika wa Bunge Dk Tulia ACkson ni muumini wa TAG

Kiongozi mkuu wa Mahakama Professor Ole Gabriel ni TAG hivi anaelewa maana ya kufuta makanisa?

Kachoka uongozi huyo na sehemu aliyoongelea sio sahihi sana kwake kwa mustakabali wake wa kisiasa

Anamtishia nyau nani mjinga huyo
 
Ujumbe umewafikia RC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…