RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

Ifike wakati wanasiasa waache kuapa huku wakiwa wameshirikira vitabu ya dini,ashikirie katiba ya nchi na ilani ya vyama vyao.
Sahihi kabisa, unafiki umewazidi yaani mtu ana apa Kwa Biblia au Quran, akimaanisha ni mfuasi wa dhehebu Fulani. Baada ya hapo kiongozi wa Dino akimkosoa kuwa anakwenda tofauti na vitabu hivyo anakuja juu. Watuachie Biblia na Quran zetu.
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
Labda baada ya kizazi hiki
 
Huyo Mbuzi anaongea hivyo maana anajua katiba mbovu iliyopo unafanya wapumbavu na mashangingi wawe maraisi wa hii nchi. Yani majimama ya kununulika kwa kodi ya nyumba yanaongoza nchi na hayafanywi chochote. Ni kweli tupeni katiba mpya halafu atokee mtawala afunge makanisa au misikiti na masinagogi aone tutakacho mfanya. Tena katiba mpya isipowekwa utawekwa kwa damu za hao mashangingi majimama ya buza mliyoyakabidhi kutuuza

Wapuuzi humuezi kuisha kwa akili hii mtaendelea kutawaliwa na ccm daima
 
Huyo Mbuzi anaongea hivyo maana anajua katiba mbovu iliyopo unafanya wapumbavu na mashangingi wawe maraisi wa hii nchi. Yani majimama ya kununulika kwa kodi ya nyumba yanaongoza nchi na hayafanywi chochote. Ni kweli tupeni katiba mpya halafu atokee mtawala afunge makanisa au misikiti na masinagogi aone tutakacho mfanya. Tena katiba mpya isipowekwa utawekwa kwa damu za hao mashangingi majimama ya buza mliyoyakabidhi kutuuza
Inaonekana Mamako ndio hua ananunulika,ndio maana umekariri kua wamama wote wananunulika kama mamako,

Kwani ungetumia lugha ya stara usingesikika?
 
Tatizo kila mkiambiwa ukweli mnakua wehu yaani kauli kama hio kweli mmeshindwa kuitafsiri na kuona alichomaanisha
 
Maana yake dini na siasa zikichanganywa kutakua na matabaka mawili yaani waislam na wakristo maana ndio dini kubwa hapa tz
Mkristo akiingia madarakani bhc atakandamiza uislam na pia muislam akiingia madarakani nae atafanya hivo hivo
Xx hamuoni huo ni ukweli?
 
Nani alikuambia TEC huwa inashughulika na kauli za watu webye upeo na akili ndogo, na watu wanafiki kama Chalamila?

Hakuna muda wa kuchezea kiasi hicho. TEC only argues with people who are mentally abd morally fit.
Ujumbe umefika,kama unamponda mtoa kauli kua ana upeo mdogo mbona kauli yake imekuchoma kama sindano na unamwaga povu kama lote hapa? Wewe mwenye upeo mkubwa umeleta mabadiliko gani kwenye nchi yako? Umewahi kua hata katibu tarafa?
 
Maana yake dini na siasa zikichanganywa kutakua na matabaka mawili yaani waislam na wakristo maana ndio dini kubwa hapa tz
Mkristo akiingia madarakani bhc atakandamiza uislam na pia muislam akiingia madarakani nae atafanya hivo hivo
Xx hamuoni huo ni ukweli?
Anaweza kutokea Mujahedeen akafunga Makanisa Yote, nimekuelewa!
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Ye mbona alienda kwa mwamposa kutafuta kuungwa mkono?
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
huyu mbuzi haelewi chochote kuhusu dini wala siasa! rubbish!! V!yote vinahubiri haki! na moja likikengeuka huelezwa! Tunangojea huyo kiongozi wako aje afanye utakayo! tuone shenzi type! Kweli MNATUONA NYANI TU.
 
Ujumbe umefika,akili zako na za ukoo wako hazimfikii Chalamila

Kwa watu wenye akili ndogo kama wewe, lazima.umwone Chalamila ni super bright.

Watu kama ninyi kwa namna tu mnavyofanya arguments zenu, mnaweka dhahiri upeo wenu na uwezo mdogo.wa akili.mlio nao.

Lakini ukweli ni kwamba hakuna mtu ambaye ni serious super brain atapoteza muda wake na tje low IQ Chalamila.
 
Kwanini asizungumzie msikiti na makanisa kwa pamoja kama kweli alilenga kujenga hoja yenye kuleta maana.?

Hoja yake imekaa kichawachawa, kumfurahisha aliyepo hapo juu kwa kutaja makanisa. Mtu anakuwa na kichwa kikubwa kama tikiti ila kina kosa akili, inakuwaje hii..?
Lini mpuuzi huyu aliwahi kuongea jambo la maana?
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Yaani baada ya kulialia ukaenda Kwa hao unaowanga wakakuombea,ss umefanikiwa unaanza dharau!
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Wee chawa Mzee mbona hujamalizia kumpa ujumbe chala kua.. kanisa takatifu la mitume hakuna wa kulishinda hata milango ya kuzimu?
 
Back
Top Bottom