Anaota huyo akaulize Idd Amin kilichomkuta hadi akapinduliwa uasi ulianzia kanisani baada ya kunyanyasa kanisa na kuua Askofu Luwun na viongozi wa dini kibao kuwa hataki makanisa anata kuislimisha Uganda kwa pesa na jeuri aliyompa Ghaddafi ya msaada wa pesa na kijeshi aue Ukristo.Uganda kilichomkuta Chalamila anajua
Hapo Zambia tu Raisi aliyepita Edgar Lungu alikuwa mnyanyasaji wa dini ndogo hakuna kama yeye alitaka dini wabaki wakatoliki tu makanisa mengine akiwafanyia kitu mbaya wakajiunga na kuanzisha harakati za kumtoa .Zambia sasa hivi ina Raisi Msabato Raisi Hichlema
Chalamila anaonyesha kalewa madaraka
Hapo alipoongelea kanisa la TAG sio watoto wadogo .Mjinga sana huyo.
Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliitoka hapo Mchungaji Dk Kipilimba , Spika wa Bunge Dk Tulia ACkson ni muumini wa TAG
Kiongozi mkuu wa Mahakama Professor Ole Gabriel ni TAG hivi anaelewa maana ya kufuta makanisa?
Kachoka uongozi huyo na sehemu aliyoongelea sio sahihi sana kwake kwa mustakabali wake wa kisiasa
Anamtishia nyau nani mjinga huyo