RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

Kwa watu wenye akili ndogo kama wewe, lazima.umwone Chalamila ni super bright.

Watu kama ninyi kwa namna tu mnavyofanya arguments zenu, mnaweka dhahiri upeo wenu na uwezo mdogo.wa akili.mlio nao.

Lakini ukweli ni kwamba hakuna mtu ambaye ni serious super brain atapoteza muda wake na tje low IQ Chalamila.
Wewe mwenye IQ kubwa mbona unapoteza muda wako kumjadili hapa? Au huelewi hata unachokiandika hapa?
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
Mpumbavu tu huyu akishavuta bangi zake anajiona Mungu. Amwambie hata huyu aliyepo ayafute makanisa aone moto wake. Katiba yenyewe inatoa uhuru wa kuabudu au kwa vile wamezoea kuibagaza katiba na kuiita kijitabu
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Na tunasubiria huyo Rais mwenye uwezo wa kufunga nyumba za ibada ili injili isisonge mbele!! Tunamsubir kwa shauku kubwa!! Naona akina herode wanaanza kujitokeza!!
 
Anaota huyo akaulize Idd Amin kilichomkuta hadi akapinduliwa uasi ulianzia kanisani baada ya kunyanyasa kanisa na kuua Askofu Luwun na viongozi wa dini kibao kuwa hataki makanisa anata kuislimisha Uganda kwa pesa na jeuri aliyompa Ghaddafi ya msaada wa pesa na kijeshi aue Ukristo.Uganda kilichomkuta Chalamila anajua

Hapo Zambia tu Raisi aliyepita Edgar Lungu alikuwa mnyanyasaji wa dini ndogo hakuna kama yeye alitaka dini wabaki wakatoliki tu makanisa mengine akiwafanyia kitu mbaya wakajiunga na kuanzisha harakati za kumtoa .Zambia sasa hivi ina Raisi Msabato Raisi Hichlema

Chalamila anaonyesha kalewa madaraka

Hapo alipoongelea kanisa la TAG sio watoto wadogo .Mjinga sana huyo.

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliitoka hapo Mchungaji Dk Kipilimba , Spika wa Bunge Dk Tulia ACkson ni muumini wa TAG

Kiongozi mkuu wa Mahakama Professor Ole Gabriel ni TAG hivi anaelewa maana ya kufuta makanisa?

Kachoka uongozi huyo na sehemu aliyoongelea sio sahihi sana kwake kwa mustakabali wake wa kisiasa

Anamtishia nyau nani mjinga huyo
Unamkosoa RC au unapigia debe ulokole?
 
Hivi ni nani aliyemleta kuja kuongoza mkoa wa Dar?
..
20230908_040257.jpg
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]

Dsm iko kwenye auto mode
 
TAG lina wafuasi wengi sana kwa sasa hapa nchini.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kabla Kolola na Lazaro hawajavurugana ndio TAG ilikuwa Taasisi kubwa lakini baada ya Kulola kuondoka iligawanyika mno na Waumini Wengi wasiopenda ugomvi walioasisi ministry Zao lakini Wengi walipitia kwa Mzee Kulola baada ya Mwenisongole kuwa mkuu wa TAG

Mfano Kakobe, Rwakatare, Mzee wa Upako, Maboya, Mitimingi nk...nk wote walikuwa TAG
 
Back
Top Bottom