RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

Jf kuna watu wana maisha magumu sana na makasiriko yao hapa ndio sehemu ya kurelease. Sasa Chalamila kipi kibaya alichokiongea ambacho kinastahili matusi anayoporomoshewa hapa? Hopeless kabisa.
 
Huyu si ndie alisema hakujaaliwa hekima wala busara?
Tuwapuuze watu waliokosa hekima na busara.
 
Kiongozi wa dini kuhamasisha waumini wa kanisa husika kuchapa kazi,kulipa kodi,kuchangia maendeleo,kuacha kutenda uhalifu nk siyo kufanya siasa?
 
Wakoloni na wafanya biashara za utumwa walichanganya dini na siasa ikawasaidia kututawala kwa urahisi kabisa.
 
Kanisa ni Kristo
Nani anauwezo wa kumaliza!!
 
MAKANISA yafanye siasa ZA IBADA tu ZA kumwabufu na kumhmidi MUNGU, NA sio Siasa KWA kisingizio cha IBADA.

BORA MH MKUU WA MKOA amelisemea HILO na Mimi naungana NAYE kwa ASILIMIA 100
KIKUBWA tu ANASHAURIWA asiwatishie WATU IBADA, huko ni kugumu mno kwa sababu anaweza kuwa anagusa kitu KINGINE kabisa AMBACHO VIONGOZI walio wengi huwa hawawezi kukigusa kabisa
 
Point nene.
 
Kama siasa na dini haziendani naombeni mnijibu kwanini viongozi wa siasa wana apishwa kwa vitabu vya dini .....
 
Viongozi wa dini wengi wana maono, wakiona kiongozi anaefaa waache kuwaambia waumini wamchague? Watakuwa wameingilia siasa? Wasifichue ufisadi? Dini na siasa ni maisha ya watu, kiongozi wa dini anapaswa kukumea maovu katika jamii.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Wakati huo maCCM wakielendelea kunenepeana kama nape , uovu ukifanyika unauthiri kila mtu mwenye dini na siyekuwa na dini kwa hiyo kila mtu aukemie kwa nafasi yaeke au kiongozi wa dini au mmachnga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…