Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa anatumia gongoHivi huyu huwa anakunywa Pombe gani maana akili yake Ni yake peke yake
Ila Uganda Vatican imedunda....ahahaha,LBGYatafungwa yote ila sio la ROMAN CATHOLIC kauli moja tu kutoka vatican nchi huanguka wafalme husujudu
Mmeishaambiwa malezi yenu hayakuwa mazuri,na hapa unazidi kudhihirisha kuwa usemi wa commander in chief kwamba ni wa ukweli.Yananipa Amani ya moyo jinga wewe
Kwa nini asiende akawaambia RC wenyewe, si kuna clip nilisikia akisema na yeye ni Mkatoliki? Kwa nini anapoenda huko kusali Jumapili asiwaambie hivyo?Ujumbe umewafikia RC
Kanisa ni KristoAnaota huyo akaulize Idd Amin kilichomkuta hadi akapinduliwa uasi ulianzia kanisani baada ya kunyanyasa kanisa na kuua Askofu Luwun na viongozi wa dini kibao kuwa hataki makanisa anata kuislimisha Uganda kwa pesa na jeuri aliyompa Ghaddafi ya msaada wa pesa na kijeshi aue Ukristo.Uganda kilichomkuta Chalamila anajua
Hapo Zambia tu Raisi aliyepita Edgar Lungu alikuwa mnyanyasaji wa dini ndogo hakuna kama yeye alitaka dini wabaki wakatoliki tu makanisa mengine akiwafanyia kitu mbaya wakajiunga na kuanzisha harakati za kumtoa .Zambia sasa hivi ina Raisi Msabato Raisi Hichlema
Chalamila anaonyesha kalewa madaraka
Hapo alipoongelea kanisa la TAG sio watoto wadogo .Mjinga sana huyo.
Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliitoka hapo Mchungaji Dk Kipilimba , Spika wa Bunge Dk Tulia ACkson ni muumini wa TAG
Kiongozi mkuu wa Mahakama Professor Ole Gabriel ni TAG hivi anaelewa maana ya kufuta makanisa?
Kachoka uongozi huyo na sehemu aliyoongelea sio sahihi sana kwake kwa mustakabali wake wa kisiasa
Anamtishia nyau nani mjinga huyo
Kanisa Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume lililojengwa juu ya mwamba halitatikisika kamwe hadi mwisho wa dahari.Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀
China wameshindwa. North Korea wameshindwa. Hapa ndipo waweze?Kanisa ni Kristo
Nani anauwezo wa kumaliza!!
MAKANISA yafanye siasa ZA IBADA tu ZA kumwabufu na kumhmidi MUNGU, NA sio Siasa KWA kisingizio cha IBADA.RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.
Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Point nene.Kwanini asizungumzie msikiti na makanisa kwa pamoja kama kweli alilenga kujenga hoja yenye kuleta maana.?
Hoja yake imekaa kichawachawa, kumfurahisha aliyepo hapo juu kwa kutaja makanisa. Mtu anakuwa na kichwa kikubwa kama tikiti ila kina kosa akili, inakuwaje hii..?
Kama siasa na dini haziendani naombeni mnijibu kwanini viongozi wa siasa wana apishwa kwa vitabu vya dini .....RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.
Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
Wakati huo maCCM wakielendelea kunenepeana kama nape , uovu ukifanyika unauthiri kila mtu mwenye dini na siyekuwa na dini kwa hiyo kila mtu aukemie kwa nafasi yaeke au kiongozi wa dini au mmachngaMAKANISA yafanye siasa ZA IBADA tu ZA kumwabufu na kumhmidi MUNGU, NA sio Siasa KWA kisingizio cha IBADA.
BORA MH MKUU WA MKOA amelisemea HILO na Mimi naungana NAYE kwa ASILIMIA 100
KIKUBWA tu ANASHAURIWA asiwatishie WATU IBADA, huko ni kugumu mno kwa sababu anaweza kuwa anagusa kitu KINGINE kabisa AMBACHO VIONGOZI walio wengi huwa hawawezi kukigusa kabisa