RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Mada za kipuuzi zile zile.

Hakuzungumzia chochote kuhusu serikali kujiingiza kwenye dini?

Anajua imani ni nini? Yeye anaona "kanisa" au (misikiti (hakuizungumzia)) ndiyo imani?

Ni wapi duniani alipowahi kuona serikali ikifuta dini?

Viongozi wenye akili pungufu kichwani kama hawa ndio tuwategemee kuongoza jitihada zetu kuleta maendeleo?
 
Mada za kipuuzi zile zile.

Hakuzungumzia chochote kuhusu serikali kujiingiza kwenye dini?

Anajua imani ni nini? Yeye anaona "kanisa" au (misikiti (hakuizungumzia)) ndiyo imani?

Ni wapi duniani alipowahi kuona serikali ikifuta dini?

Viongozi wenye akili pungufu kichwani kama hawa ndio tuwategemee kuongoza jitihada zetu kuleta maendeleo?
Imani inasajiliwa na Serikali?
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
Milembeeeh medical healthy
 
Yatafungwa yote ila sio la ROMAN CATHOLIC kauli moja tu kutoka vatican nchi huanguka wafalme husujudu
Hadi mje kuamka nyama zote zishaliwa,,,,, Vatican inasujudiwa na makapuku tu....... Kwingine wanaipa heshima kama tawala zingine za dunia
 
Sasa unaniuliza swali hilo mimi, kwa nini usiliwasilishe huko kunakohusika.
Kwani kanisa au msikiti ni kitu gani. Vipo kwa minajili ipi?

Atavifuta ili iweje?
Misikiti na Makanisa ni NGOs tu 😄

Ndio sababu amewakumbusha wasisahau kuwa Msajili wao ni Serikali

Imani ni kama ile ya Nikea kwa waprotestanti au Nasadiki kwa wale wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀😀 🔥
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Huyo bwana mdogo Chalamila ndio lilelile kundi la walevi,Hv mlevi akilewa mnaweza mkaelewana lugha gani .huyo dogo Aendelee kuota ndoto za mchana maana bado umri unamruhusu.Miaka ya kufunga makanisa na misikiti ilishapita zamani CCM wajaribu waone kama hawataamka wakajikuta ni chama cha upunzani.
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Chalamila ni pasta mimi mm nilidhani ni mkuu wa mkoa kumbe ni pasta.
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Chalamila kenge ambae yuko kwenye ubora wake.kujipendekeza oyeeeeeeeeeeeeee.
 
Misikiti na Makanisa ni NGOs tu 😄

Ndio sababu amewakumbusha wasisahau kuwa Msajili wao ni Serikali

Imani ni kama ile ya Nikea kwa waprotestanti au Nasadiki kwa wale wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀😀 🔥
Kama unaelewa hivyo, itasaidia kitu gani kufuta hizo NGO na kuacha miziz yake ikishamili!
Afute mizizi na mashina yake yote kama anadhani huo uwezo wanao.

Hawa wachumia tumbo wamebaki kupayuka tu, ili mradi wasikike kuwa wapo.
 
Mimi kinachoniuma ni pale ambapo wanasiasa wanapewa nafasi ya kutumia madhabahu (katika Nyumba za ibada) kama majukwaa ya kutolea matamko yao ya kisisasa!
Nyumba za Ibada ni mahali pa kusikiliza Neno la Mungu na kufanya ibada!
 
..hicho alichokifanya huko Kanisani, kuhudhuria Ibada kama Mkuu wa Mkoa, na sio muumini wa kawaida, sio kuchanganya dini na siasa?
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Mpumbavu tu, hajui kuwa tofauti ni location tu, watu ni walewale, ni kichaa peke yake abatedhani kuwa kuta za nyumba za ibada ndiyo dini
 
Back
Top Bottom