RC Chalamila: Rais Samia amewaona waliodandia Treni

Hiyo ni sawa na kumwambia Rais kuwa alikosea kumchagua yeye kuwa mkuu wa Mkoa. Yaani hata wanaodandia treni, mpaka waonwe na Rais. Bila ya kuonwa na Rais, maana yake hawezi kufanya kitu.
 
Le chawa pro max li hamnazo flani hivi zee la kupuyanga na kuropoka bila mpangilio, anaekula Kodi bure
 
Yaani huyu ndiye kiongozi mkubwa wa Serikali ,ngazi Mkoa..tena Mkoa Mama..hakika tunasafari ndefu ya kufika kwenye maendeleo ya kweli ya Watu!
 
Mjinga sana, kwahiyo bila Rais kuona asingezungumza wala kwenda kutafuta kero,
 
Hii inamaanisha amepwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…